The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,532
- 1,739
Habari, huko kwenu sukari inapoatikana kwa urahisi? na ni kwa bei gani kwa kilo?.
Sehemu niliyoko mm haipatikani kirahisi na kilo ni kuanzia sh 4000/= na kuendelea mpaka 5000/= kutegemeana na muuzaji.
Sukari, Sukari Sukari, mbona unatutesa watanzania??
Sehemu niliyoko mm haipatikani kirahisi na kilo ni kuanzia sh 4000/= na kuendelea mpaka 5000/= kutegemeana na muuzaji.
Sukari, Sukari Sukari, mbona unatutesa watanzania??