ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,709
- 2,272
Najua wakuu wa nchi wote wanasoma JF.
Hali ni tete kuhusu upatikanaji wa sukari, hakuna duka la jumla lenye sukari. Mkuu wa mkoa yupo, mbunge yupo lakini wako kimya. Hapo jirani, Mkoa wa Songwe-Tunduma, sukari kilo 20 inauzwa 52,000, sawa na sh 2600 kwa kilo ya kutoka Zambia. Na ukipanda mabasi huruhusiwi kununua sukari ya Zambia. Tusaidiane kupaza sauti.
Hali ni tete kuhusu upatikanaji wa sukari, hakuna duka la jumla lenye sukari. Mkuu wa mkoa yupo, mbunge yupo lakini wako kimya. Hapo jirani, Mkoa wa Songwe-Tunduma, sukari kilo 20 inauzwa 52,000, sawa na sh 2600 kwa kilo ya kutoka Zambia. Na ukipanda mabasi huruhusiwi kununua sukari ya Zambia. Tusaidiane kupaza sauti.