Nakumatt Supermarket: Mwisho wa kuchukua sukari ni kilo tano

Okay je mtu akienda kununua kilo 5, halafu anarudi kila baada ya dk 5 au 10 na kupitia kwa cashier tofauti watajuaje?

Naona sasa bora mimi nitumiaye asali hili suala la sukari haliniathiri kabisa
 
Wadanganyika ni kama kuku wa Kizungu, wanataka kulishwa tu kazi kwao ni mwiko. Upungufu.wa sukari unatikana na kwamba nyie wenyewe hamjitumi kulima miwa ya kutosheleza soko la sukari lililopo, sasa mnataka hiyo sukari ijitegeneze au bunge ndio wazalishaji. Jiulizeni wenyewe kwanza kwa nini uzalishaji wa bidhaa za.ndani ni mdogo nna hautoshelezi mahitaji yetu. Akila kitu muagiziwe kutoka nje toka sukari hadi imefikia hata mayai, limao na ngano wakati mnalia na mafuriko! Hata huyo Mungu anachaganyikiwa hajui Wadanganyika mnataka nini. Leo jua kali mazao hayaoti akileta mvua jamani Mungu weee mafuriko tukumbuke wa Mabondeni! Pu
mbaf kabisa!
 
Wadanganyika ni kama kuku wa Kizungu, wanataka kulishwa tu kazi kwao ni mwiko. Upungufu.wa sukari unatikana na kwamba nyie wenyewe hamjitumi kulima miwa ya kutosheleza soko la sukari lililopo, sasa mnataka hiyo sukari ijitegeneze au bunge ndio wazalishaji. Jiulizeni wenyewe kwanza kwa nini uzalishaji wa bidhaa za.ndani ni mdogo nna hautoshelezi mahitaji yetu. Akila kitu muagiziwe kutoka nje toka sukari hadi imefikia hata mayai, limao na ngano wakati mnalia na mafuriko! Hata huyo Mungu anachaganyikiwa hajui Wadanganyika mnataka nini. Leo jua kali mazao hayaoti akileta mvua jamani Mungu weee mafuriko tukumbuke wa Mabondeni! Pu
mbaf kabisa!
Mizuka plus Maigizo

By Sugu
 
Wachumi watupe "somo" hapa inamaanisha ninI? What if hii picha imetengenezwa?
 
Dah..., Hawa mawakala wa shetani wanaoficha sukari siku, JPM akiwatia mkononi atupe sisi tuwafanye supu
 
YAWEZEKANA HAPO SUPERMARKET SUKARI BEI NAFUU kuliko maduka ya jirani. Hivyo wameweka kiwango ili watu wasizoe jumla wakaenda kupandisha NJE. Ni mawazo yangu
 
YAWEZEKANA HAPO SUPERMARKET SUKARI BEI NAFUU kuliko maduka ya jirani. Hivyo wameweka kiwango ili watu wasizoe jumla wakaenda kupandisha NJE. Ni mawazo yangu

halafu pale moshi kuna wapiga dili na madalali balaa tayari kuna watu wameshaapata dili hapo
 
Kwani maombi anayoombewa hayafanyi kazi? Mashetani vipi jamani mbona mnamuangusha Ankal Magu....
 
tatizo wako wengine chai kutwa mara tatu lazima sukari iadimike lakini ni kwa mda tu,

mambo mazuri yanaletwa.
 
Usi



Usicheze na wafanyabiashara ww unahisi ni hao vidagaa vyenu mnavovitumbua, hii nchi ya uchumi huru angalia sasa mnavotapatapa mpk kule tpa mmevurugwa hkn mapato
Sisi atuko kwenye ujamaa magu ameshidwa kutambua ilo ata ningekua mm huwezi nilazimisha niuze sukari unavyotaka wewe
 
Watanzania tunataka kwenda peponi bila kufa. Haiwezekani. Haya ni matatizo ya muda. Tatizo lilijengwa na awamu ya nne iliyowapa wateule wachache kuagiza sukari bila kulipa kodi stahiki huku wakiua viwanda vya ndani.
Viwanda vya ndani vilipunguza production kuhofia sukari ya mafisadi wateule. Kurekebishsha hali hii lazima kuwe na kipindi cha mpito.
 
Serikali ya jpm ilikataza sukari ya nje ili viwanda vya ndani vinufaike ni jambo zuri alifanya baada ya kuhakikishiwa demand will meet to consumers.
Ajabu imegeuka sukari imekuwa bidhaa adim km haipatikan masuper agent wamefungia ndani iadimike wauze ghali kwa faida zao.kweli hawa matajir ndo mana ht akigonga nyanya sokoni halipishwi bali anapondwa had afe.matajiri wana rohombaya sana ingawa me tajiri pia
ichi inapoelekea ni hatar hiv nini kinaendelea katika chi hii maan tunapoelekea siyo kuzuri Siunaon sukar hamna wakati Mkula alisema sukar ipo ya kutosha hili nalo jipu kk
 
mnaenda familia nzima mnachukua kilo 5 watu 5-10 ni k 50 karibu kama shida ni limit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom