Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kwani kakufanya nini hadi utamani kunywa damu yake?
Hata hivyo kama ni mambo ambayo unaona ni very personal basi funga hii thread ili umalizane naye peke yako!!
Ila uangalie vizuri usije ukaenda kumtoa roho ukapoteza yako....Kumbuka kuandika wosia kabla ya kufanya uamuzi wowote!
Hata hivyo kama ni mambo ambayo unaona ni very personal basi funga hii thread ili umalizane naye peke yako!!
Ila uangalie vizuri usije ukaenda kumtoa roho ukapoteza yako....Kumbuka kuandika wosia kabla ya kufanya uamuzi wowote!