Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
kwa kuongezea, hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu...nimesahau ni Mithal ngapi.Neno la Mungu lasema; "Usikubali kushindwa na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema." - Warumi 12:21***Nakushauri uupitie mlango mzima wa 12, utapata amani ya moyoni, it teaches a lot on how to live with people, tena binadamu wenye maudhi!!!