Halafu wewe ukanyoe ndefu sote, sawa?
Wakina nani hao tena?
Mimi penda wote tena nawapenda kutoka bottom of my heart.
mh,me jf ni kama stress free zone. nikiwa na hasira naingia jf kuzipooza.
Mamndenyi ayoo shoo?Mimi penda wote tena nawapenda kutoka bottom of my heart.
I luv you guys sanaaaaa! Mwahhhhh to ol of u! Lol!
Mzizi mkavu
majimoto
dk.riwa
mtambuzi
mrembo by nature
Mimi nikipenda nasikia hadi kwenye kifua changu kunakuwa na joto fulani,
kweli mimi penda wote, japo sometime BEGAH na BOFLO wanauzi
but mimi penda wote mrembo wangu.
much love and respect to you dear Sisy
have blessed morning.:A S-heart-2:
Hata mimi wanipenda?Mimi penda wote tena nawapenda kutoka bottom of my heart.