mie nawapenda wote, mnafanya maisha yangu....... yanakuwa marahisi zaidi.
nawapenda wote......
mh,me jf ni kama stress free zone. nikiwa na hasira naingia jf kuzipooza.
mimi sisubiri nipate stress,
wewe una hasira sana eeh?
Yule anaegawa BAN kama pipi! ndo namzimikia
stress nyng uswaz,co hasira mkuu! me cna hasira mkuu am always charming