Nahitaji ushauri please kabla ya kufanya maamuzi

Asante, pia hongera / pongezi kwa moyo mzuri uliounesha kwa huyu msichana wako ,
wa kumpeleka shule, hiyo mimba aliyoipata isikuvunje moyo wa kuendelea,
kumsaidia tu,binadamu hatuachi kukosea kila siku,
na kibaya zaidi tunapenda kujifunza kwa makosa yetu,
siyo kwa makosa ya wenzetu.
huyo msichana endelea kuishi naye,
huyo mama yake kakosea kumwambia mwanaye atoe mimba, ila najua kasema hivyo ksb,
mama mtu hataki mwanaye apoteze hiyo nafasi ya kusomeshwa ,
kila mama/mzazi anapenda mwanaye awe na maisha mazuri,
kwa hiyo mamayake anaona kama mtoto wake ataendelea kuwa na hiyo
mimba basi shule atakosa na huenda hata hapo utamfukuza.
Ila mama mtu anasahau kuwa tatizo siyo mimba tu,
na je kama mwanae ana vvu pia je navyo atavitoa??

Endelea kuishi na huyo msichana wako, ila tafuta muda mzuri,
wa kuongea naye kwa urefu,na upana zaidi naamini sasa atakuelewa zaidi,
kuliko mwanzo alivyomkanya kabla haja do, ila sasa kwavile ka do na kaona madhala ya
ku do kabla ya wakati wake atakuelewa vzur sana.
Pia ongea na mama yake kuhusu ubaya wa ushauri aliompa mwanaye,kwani
kutoa mimba siyo suluhisho la tatizo,
huyo msichana lazima apate elimu ya kujitambua yeye kama msichana,
pia kukabiliana na vishiwishi vya mwili na wanaume ktk jamii.
 
Mrudishe kwao ila jitahidi uwe unamtumia pesa ya matumizi na huduma zingine.
Unaweza kumrudisha sahv au ukasubiria akikaribia kujifungua.
Mungu akuzidishie moyo wa huruma na upendo.
 
Ya kweli haya?...Sioni kuna ukweli kwenye hili la mama kumshauri kutoa mimba. Chunguza zaidi utabaini kilichojificha ndani ya usemi huu!


hata yule dada mama yake na ndugu zake walimfukuza coz walkua wanaujua ukweli lakini my aunt hakujua ...... ilikia hatua akawa anaenda kumsema huyo mama wa huyo binti kuwa amemtupa mtoto na mjukuu kumbe yeye ndo alkua kwenye giza nene!!

SIPENDI KULIKUMBUKA HII TUKIO KABSAA MAANA NLKUA NAISHI NA AUNT YANGU
 
hapa ndo pale unapoanza kujumlisha matukio unaweza usimeze, inakuaje baada ya hapo?huwa tunaimba kikwetu sijui!!!!!!!!!!!!!!!:noidea:

hata yule dada mama yake na ndugu zake walimfukuza coz walkua wanaujua ukweli lakini my aunt hakujua ...... ilikia hatua akawa anaenda kumsema huyo mama wa huyo binti kuwa amemtupa mtoto na mjukuu kumbe yeye ndo alkua kwenye giza nene!!

SIPENDI KULIKUMBUKA HII TUKIO KABSAA MAANA NLKUA NAISHI NA AUNT YANGU
 
NDIO UTU UZIMA CHAURO!!
-nakushauri uongee nae mimba asiitoe maana hiki ni kipindi kigumu sana kwake na kwako pia
-NAKUOMBA ujitahidi uujue ukweli kuhusu hiyo mimba na ni ya nani
-Huyo mdogo wako ajaribu kuongea nae kwa ukaribu pia ili ajue nia yake ya dhati kuhusu hiyo mimba na kama kweli amegundua alifanya makosa!!


TAHADHARI
*****mschana wa aunt yangu aliwahi kuwa na situation (ujauzito) kama wako lakini wakati WAKATI ANAPATA MIMBA ALKUA NDIO ANAMALIZA CHUO TEACHING ambapo aunt alimsomesha tangu form one hadi four
.**ikabidi amwambie uncle wakakubaliana kumlea maana kwao walimfukuza........wakamhamishia servant konta na kumwekea msaidizi mtoto akazaliwa akalelewa ajira ikaja akamhamishia kwake baada ya miaka 6 akawa na mimba ya pili kabla ya kujifungua aunt akagundua ni ya mume wake (uncle) na pia yule mtoto wa kwanza ni wa mumewe.........matokeo yake aunt akapata stroke!!!!!

MAMA D, hapo kwenye RED pamenisikitisha sana,
eeh Mungu bora haya mambo uyasikie tu lakin yakikufika ,
mmh! . MPE POLE SANA HUYO MAMA ALIYEPATA STROKE
PAMOJA NA WEMA WOOTE ALIOUTENDA KWA HUYO BINTI,
BINADAMU HATUTHAMINI UTU NA WEMA TUNAOTENDEWA NA
BINADAMU WENZETU LAKIN UZURI NA LILILOFARAJA KWETU,
NI KUWA MUNGU ANAONA YOTE YALIYOMIOYONI MWETU NA
TUYATENDAYO, MUNGU YUPO NAYE ASIKATE TAMAA,
NIMEGUSWA SANA.
 
hata yule dada mama yake na ndugu zake walimfukuza coz walkua wanaujua ukweli lakini my aunt hakujua ...... ilikia hatua akawa anaenda kumsema huyo mama wa huyo binti kuwa amemtupa mtoto na mjukuu kumbe yeye ndo alkua kwenye giza nene!!

SIPENDI KULIKUMBUKA HII TUKIO KABSAA MAANA NLKUA NAISHI NA AUNT YANGU


Mambo ya kikulacho ki maungoni mwako.Kwamba mama yake kamwambia atoe mimba, ni janja yake kuonyesha kuwa kwao wanalijua tatizo la yeye kupata mimba lakini hawako tayari "kubeba mzigo mwingine wa mjukuu". Hii ni kumfanya mdada anayeishi naye kuona huruma ili aendelee kumweka! Angemtega kuwa sasa toa hiyo mimba ndio angeona kiroja zaidi.

Ikiwa kinachoendelea kinafanana na kilichompata aunty yako, basi ndio ujue kuna mchezo umeshachezwa hapo na asubiri kuja kushangaa zaidi pale mtoto atakapozaliwa nyumbani kwake! Atajuuuuuuta kuwa na huruma isiyo na mipaka.
 
KWA HUO MFANO ALIOUTOA MAMA D,

CHAURO NAOMBA SUALA LA KUISHI NAYE AU KUMWONDOA HAPO NYUMBANI NAKUACHIA WEWE ,
ILA NAOMBA UENDELEE KUMSAIDIA iwe AWE KWAKO AU KWAO....
Pia hakikisha unamfahamu nani aliyempa huo ujauzito.
 
Mimi ninashauri umsaidie ila kwa njia tofauti!
Kama inawezekana umrudishe kwao, lakini mpe mtaji aweze kufanya biashara na kujitegemea. Kukaa na mtu ambaye naye ni mzazi ni kazi sana, maana utakuwa unalea watu wawili, at the end of the day, lazima utafute helper mwingine!

Akienda kujitegemea, ataanza kuwa responsible, kwani kitendo cha kupata ujauzito is irresponsible kwani nina uhakika ulikuwa ukimuasa kuhusu mambo hayo.

Nooooooooo,..
Chauro don't take or even think of this kind of ushauri!
Naamini kabisa huyo binti ingawa ni mdogo anategemewa sana kwao!
AKi mrudisha na "akampa mtaji" kama unavosema,una uhakika gani kwamba ana akili ya kufanya biashara?
Ni mtaji kiasi gani huo atakao mpa mkubwa zaidi ya elimu? zaidi akimpa hela ataenda kuila huko kwao,au ataenda kutolea mimba!

Cha kufanya,msaidie ajifungue salama kabisa,...
Akisha jifungua,ingawa atakua mzigo mkubwa sana,mrudishe shule aendelee na masomo (huo ni masaada mkubwa kupita yote,kwake,kwa mtoto wake,na ndugu zake wa upande mwingine).

Pole sana,uko kwenye wakati mgumu ila nyuma yake,kuna baraka nzuri sana,...Try God with this one!
 
WOS ndio maana nimekuja kuomba ushauri hapa najitahidi kusoma na kuelewa mawazo yenu ili nifikie uamuzi wa busara sikutaka kusema afungashe virago tu bila kujua lolote,na lengo ilikuwa ni kujua jinsi nitakavoliendesha jambo zima.


Mambo ya kikulacho ki maungoni mwako.Kwamba mama yake kamwambia atoe mimba, ni janja yake kuonyesha kuwa kwao wanalijua tatizo la yeye kupata mimba lakini hawako tayari "kubeba mzigo mwingine wa mjukuu". Hii ni kumfanya mdada anayeishi naye kuona huruma ili aendelee kumweka! Angemtega kuwa sasa toa hiyo mimba ndio angeona kiroja zaidi.

Ikiwa kinachoendelea kinafanana na kilichompata aunty yako, basi ndio ujue kuna mchezo umeshachezwa hapo na asubiri kuja kushangaa zaidi pale mtoto atakapozaliwa nyumbani kwake! Atajuuuuuuta kuwa na huruma isiyo na mipaka.
 
ni mtoto wa kike pekee kwa mama yake wapo sita. Mama yake alikuwa akinipigia na kuniomba kila siku niishi nae kama mdogo wangu,anatamani kukaa na mwanae lakini hana uwezo na aliamini mikononi mwangu yuko safe kutokana na mazingira ya kwao.


Nooooooooo,..
Chauro don't take or even think of this kind of ushauri!
Naamini kabisa huyo binti ingawa ni mdogo anategemewa sana kwao!
AKi mrudisha na "akampa mtaji" kama unavosema,una uhakika gani kwamba ana akili ya kufanya biashara?
Ni mtaji kiasi gani huo atakao mpa mkubwa zaidi ya elimu? zaidi akimpa hela ataenda kuila huko kwao,au ataenda kutolea mimba!

Cha kufanya,msaidie ajifungue salama kabisa,...
Akisha jifungua,ingawa atakua mzigo mkubwa sana,mrudishe shule aendelee na masomo (huo ni masaada mkubwa kupita yote,kwake,kwa mtoto wake,na ndugu zake wa upande mwingine).

Pole sana,uko kwenye wakati mgumu ila nyuma yake,kuna baraka nzuri sana,...Try God with this one![/QUOTE
 
yani dada ,hata sielewi wakati mwingine unaweza hata kupata mawazo mabaya unamsaidia kwa maisha yake yeye anakwenda kufanya mambo ya ajabu halafu kibaya katika vyote na dhehebu alihama akaenda kusali kanisa jingine ananiambia ameokoka mwe!

ameokoka?? kwa hiyo mimba ndiyo neno alilopewa huko??
Watu kama hawa ndiyo wanaokatisha tamaa wenzao kumjua Mungu..
Kwani badala ya kuwa nuru wanakuwa giza.
 
we acha tu ndugu yangu,inakatisha tamaa sana.

ameokoka?? kwa hiyo mimba ndiyo neno alilopewa huko??
Watu kama hawa ndiyo wanaokatisha tamaa wenzao kumjua Mungu..
Kwani badala ya kuwa nuru wanakuwa giza.
 
cha msingi endelea kukaa nae 2 usikate tamaa ndo mitihan ya dunia najua umepoteza peas yko kumsomesha nae akaenda kupga game tena kijana ataftwe awajibishwe amlee mwanae manake kulea mimba nayo kaz
 
Ushuari wangu... Kabla ya kufanya chochote muulize yeye anataka nini,

kuna mwenzangu mmoja liapata housegirl mzuri sana, anafanya kazi na ana upendo na watoto... bahati mbaya akapata mimba na alishalipiwa hadi ada ya kusoma, kilichotokea yule dada alisema waziwazi kwamba anataka kurudi kwao ili aoelwe

so teh first step ni wewe kujua anataka nini, then itakusaidia ila usimfukuze, usimtoe hiyo mimba (akitoa ni yeye) endelea kuishi naye kama mwanzo na kama mimba inamsumbua basi mpe msaada kamili

anaweza akazaa, na bado akawa dada mzuris ana kwa watoto, kwani atakua pia amejifunza maisha yalivyo hatari
 
Tatizo langu linakuja anposema mama yake kamwambia atoe,nimejiuliza mama huyu huyu ambaye tunaongea nae wamekubaliana yote hayo ina maana alitaka iwe siri mimi nisijue ,mara ya mwisho kuongea nae ni kama siku tatu nyuma anaulizia maendeleo ya shule ya mwanae.


Ushuari wangu... Kabla ya kufanya chochote muulize yeye anataka nini,

kuna mwenzangu mmoja liapata housegirl mzuri sana, anafanya kazi na ana upendo na watoto... bahati mbaya akapata mimba na alishalipiwa hadi ada ya kusoma, kilichotokea yule dada alisema waziwazi kwamba anataka kurudi kwao ili aoelwe

so teh first step ni wewe kujua anataka nini, then itakusaidia ila usimfukuze, usimtoe hiyo mimba (akitoa ni yeye) endelea kuishi naye kama mwanzo na kama mimba inamsumbua basi mpe msaada kamili

anaweza akazaa, na bado akawa dada mzuris ana kwa watoto, kwani atakua pia amejifunza maisha yalivyo hatari
 
Mambo ya kikulacho ki maungoni mwako.Kwamba mama yake kamwambia atoe mimba, ni janja yake kuonyesha kuwa kwao wanalijua tatizo la yeye kupata mimba lakini hawako tayari "kubeba mzigo mwingine wa mjukuu". Hii ni kumfanya mdada anayeishi naye kuona huruma ili aendelee kumweka! Angemtega kuwa sasa toa hiyo mimba ndio angeona kiroja zaidi.

Ikiwa kinachoendelea kinafanana na kilichompata aunty yako, basi ndio ujue kuna mchezo umeshachezwa hapo na asubiri kuja kushangaa zaidi pale mtoto atakapozaliwa nyumbani kwake! Atajuuuuuuta kuwa na huruma isiyo na mipaka.

aaahhh... WOS, naona thread imemtoa nyoka pangoni?? niaje siku hizi huonekani kabisa

Ok, back to topic, haya mambo maumu sana na yanateemea case to case, kesho hakawii kukwambia baba ndio kanipa mimba

The best approach is to let her decide her future
 
NDIO UTU UZIMA CHAURO!!
-nakushauri uongee nae mimba asiitoe maana hiki ni kipindi kigumu sana kwake na kwako pia
-NAKUOMBA ujitahidi uujue ukweli kuhusu hiyo mimba na ni ya nani
-Huyo mdogo wako ajaribu kuongea nae kwa ukaribu pia ili ajue nia yake ya dhati kuhusu hiyo mimba na kama kweli amegundua alifanya makosa!!


TAHADHARI
*****mschana wa aunt yangu aliwahi kuwa na situation (ujauzito) kama wako lakini wakati WAKATI ANAPATA MIMBA ALKUA NDIO ANAMALIZA CHUO TEACHING ambapo aunt alimsomesha tangu form one hadi four

.**ikabidi amwambie uncle wakakubaliana kumlea maana kwao walimfukuza........wakamhamishia servant konta na kumwekea msaidizi mtoto akazaliwa akalelewa ajira ikaja akamhamishia kwake baada ya miaka 6 akawa na mimba ya pili kabla ya kujifungua aunt akagundua ni ya mume wake (uncle) na pia yule mtoto wa kwanza ni wa mumewe.........matokeo yake aunt akapata stroke!!!!!

Sh!t....

Huo ni usaliti uliokubuhu
 
ndo maana nimeleta hapa kutuliza hiki kichwa kabla sijamuendea inaweza ikawa .........................!?:tape:



aaahhh... WOS, naona thread imemtoa nyoka pangoni?? niaje siku hizi huonekani kabisa

Ok, back to topic, haya mambo maumu sana na yanateemea case to case, kesho hakawii kukwambia baba ndio kanipa mimba

The best approach is to let her decide her future
 
Tatizo langu linakuja anposema mama yake kamwambia atoe,nimejiuliza mama huyu huyu ambaye tunaongea nae wamekubaliana yote hayo ina maana alitaka iwe siri mimi nisijue ,mara ya mwisho kuongea nae ni kama siku tatu nyuma anaulizia maendeleo ya shule ya mwanae.
mwambie achuje, kama ushauri keshapata.. sasa ni zamu yake kuamua!!!

Dont underestimate houesegirls, wa siku hizi ni wajanja na ndio maana anaweza akatiana hadi akapata mimba wewe hata hisia usiwe nazo kwamba ameshakua

Allow her to lead the process ya ku-transition maisha yake, na anachoamua endelea kumsaidia, hakupenda kuwa na mimba, ni kiu tu aisee:tape:
 
Fatilia kwa huyo kijana ili ujue ukweli wa mimba yenyewe, na kisha mie nafaikiri ni vema ukimsaidia kwani ulikwisha onyesha nia ya kumsaidia. Kupata mimba ni hali ya kibinadamu tu ambayo ingeweza kumpata hata mwanao
 
Back
Top Bottom