Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
- Thread starter
- #61
ntafanyia kazi yote na mwisho wa siku ataamua yeye,kwenye kuchuja sidhani kama amekuwa matured ivo kufanya maamuzi lakini best way ni ipi kumrudisha kwao kwanza nimsaidie akiwa huko au mimi nikae nae nilee hiyo mimba maana sio kazi ndogo na mimi na watoto wadogo ndani!
mwambie achuje, kama ushauri keshapata.. sasa ni zamu yake kuamua!!!
Dont underestimate houesegirls, wa siku hizi ni wajanja na ndio maana anaweza akatiana hadi akapata mimba wewe hata hisia usiwe nazo kwamba ameshakua
Allow her to lead the process ya ku-transition maisha yake, na anachoamua endelea kumsaidia, hakupenda kuwa na mimba, ni kiu tu aisee:tape: