Benbulugu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 791
- 1,130
- Thread starter
- #61
Broo nadhani usiwe judgemental mm sijafanya wala kufikiria kufanya hiko kitendo ila ni scandle iliyochochewa au kutengenezwa na mwenye pharmacy kwenda kwadiwani akatia chumvi anavyo weza ,,kutokana na ujio wangu kikazi kua barrier kwa wateja kazini kwake na muuza duka ladawa baada ya yy mwenyewe kuwahi kunipeleka kwenye hyo familia(nikiwa mgeni )ya kua tunatokea mkoa mmoja hapo ndipo nilipopata namba yake,hata hivyo hakukua namawasiliani ya mara kwamara au yahusuyo mahusiano..Kwa sasa kuna wimbi kubwa sana la Vijana kutembea na wake za Watu, nakushauri Acha kabisa hizo tabia