Kaiche
Senior Member
- Jan 23, 2017
- 141
- 269
Habari JF ,
Mpwa wangu ni Mtumishi wa serikali , katika harakati zake za maisha ,Amekopa taasisi mbili tofauti za ukopeshaji pesa kwa watumishi.
Dhamana ya mkopo wake ni mshahara ambapo kwa maelezo wanaacha kadi ya benk akaunt ya mshahara.
Kampuni moja inamdai 1,600,000 na nyingine 1,400,000 , Kilichotokea alikopa sehemu ya kwanza akaacha kadi , baadae kadi ikawa expired , akaitwa abadilishe , akatumia nafasi hiyo kwenda kukopa taasisi nyingine.
Sasa ya hii ya kwanza wamemshataki polis na aliwekwa lockup na nilienda kumtoa wiki iliyopita , na kukubaliana alipe hiyo pesa ,
Tumeenda taasisi ya pili hawataki kumlipia hili deni , na mshahara wake ni mdogo hauwez kugawanyw kwenda sehem zote.
Polisi anatusumbua sana , na anatak amkamate amweke ndani ,
Ndugu zangu naomba msaada kwenye hili shauri , Anatokaje huyu mwanangu , ukizingatia hana pesa , tumepambana hakuna kitu , Msaada tafadhali wa kisheria hapa. Ukizingatia ni mtumishi , anatokaje salama?
Mpwa wangu ni Mtumishi wa serikali , katika harakati zake za maisha ,Amekopa taasisi mbili tofauti za ukopeshaji pesa kwa watumishi.
Dhamana ya mkopo wake ni mshahara ambapo kwa maelezo wanaacha kadi ya benk akaunt ya mshahara.
Kampuni moja inamdai 1,600,000 na nyingine 1,400,000 , Kilichotokea alikopa sehemu ya kwanza akaacha kadi , baadae kadi ikawa expired , akaitwa abadilishe , akatumia nafasi hiyo kwenda kukopa taasisi nyingine.
Sasa ya hii ya kwanza wamemshataki polis na aliwekwa lockup na nilienda kumtoa wiki iliyopita , na kukubaliana alipe hiyo pesa ,
Tumeenda taasisi ya pili hawataki kumlipia hili deni , na mshahara wake ni mdogo hauwez kugawanyw kwenda sehem zote.
Polisi anatusumbua sana , na anatak amkamate amweke ndani ,
Ndugu zangu naomba msaada kwenye hili shauri , Anatokaje huyu mwanangu , ukizingatia hana pesa , tumepambana hakuna kitu , Msaada tafadhali wa kisheria hapa. Ukizingatia ni mtumishi , anatokaje salama?