Benbulugu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 801
- 1,168
- Thread starter
- #41
Asante kwa ushauri ,nikweli kwa waswahili aina yoyote ya ukaribu hutafsrika kama kufanya mahusiano namke wa mtu,kwahyo kesi niachane nayo tu mkuu.Achana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.
Kazi sio ya baba yako omba uhamisho.
Mazoea yeyeto na wake za watu au ukaribu wowote kwa waswali utafsiriwa mnakulana.