Nahitaji msaada wa kisheria ndugu zangu

Achana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.
Kazi sio ya baba yako omba uhamisho.
Mazoea yeyeto na wake za watu au ukaribu wowote kwa waswali utafsiriwa mnakulana.
Asante kwa ushauri ,nikweli kwa waswahili aina yoyote ya ukaribu hutafsrika kama kufanya mahusiano namke wa mtu,kwahyo kesi niachane nayo tu mkuu.
 
Achana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.
Kazi sio ya baba yako omba uhamisho.
Mazoea yeyeto na wake za watu au ukaribu wowote kwa waswali utafsiriwa mnakulana.
Watu wapwani wanamabifu sana sana
 
Asante kwa ushauri ,nikweli kwa waswahili aina yoyote ya ukaribu hutafsrika kama kufanya mahusiano namke wa mtu,kwahyo kesi niachane nayo tu mkuu.
Achana nayo,wakati mwingine usipende sana kutafuta haki haki mengine achilia nature ifanye kazi.
Suala lako ukimwambia mwajiri kwa ushahidi atalipa uzito atakuhamisha hata ndani ya mkoa.
 
Ni kweli i'm 31 near to celebrate my 32 birthday ...kuna jamaa mmoja nilikua nnamsimulia faragha hii inshu akanishauri the same as you ila sasa kwa upande wake alisema endapo haujafanya nakweli unakiri haujafanya komaa upate haki yako,ila kama umemto-m-mba kimbia mara moja,kusema ukweli mm sijafanya kabisa sina haja ya kuficha hapa ndio maana roho inaniuma , nahili nitukio lakutengeeneza kufuatia kudorola kwa mapato katika pharmacy yajamaa aliyekua anahudumu pale kijijini kabla ya ujio wangu katika kile kituo kwayo mm ndio kama nekua barrier yayy kuuza dukani kwake badala yake wagonjwa wanakuja kituo cha afya/zahanati kupata huduma
Naelewa the situation! Onyo usitafute haki kabisa ukiwa maeneo hayo unless unataka Uifate hiyo Haki watu waseme "Umetangulia Mbele ya Haki"..

Huwezi kuipata Haki kwa mtu alinuia Kisasi,Huwezi kuipata suluhu kwa Mtu mwenye Hasira huwezi kupata Msaada hapo na wala usiitafute vinginevyo wakikushindwa huko watakutafutia Zengwe na nakuApia kuwa Hilo zengwe hautachomoka na ndo itakuwa mwisho wako..

Utapoteza kazi yako,Heshima yako na hata utu wako...

Umri wako ni Mdogo sana bado kijana mdogo Bado unasafari ndefu sana usiharibu safari yako kwa kiburi cha kushawishiwa na watu..

Wengi walioharibu Future zao ukiuliza watakuambia "niliambiwa na watu nisiachie mpaka nipate haki yangu" lakini wote sasa ndo wanaipata Haki kwenye Magereza na jela..

Nikuulize hivi unafikri wanaopakaziwa kesi za kuiba madawa ya Hospitali sio watu?
Wanaambiwa wamebaka wajawazito sio watu?
Wanaoambiwa mtoto kashindwa kupata huduma na kafia Hospitali sio watu?
Wanaopewa kesi za kitaaluma zinazopelekwa kuamriwa na Baraza la madiwani (Humo ambamo Mbaya wako yumo) sio watu?..

Kijana kabla hujafanya maamuzi yenye "Ego" ndani yake Fikiri kwanza umefikaje huko Lindi, fikiri Muda uliosoma ,Fikiri kama una watoto au mke fikiri kama una future yako..

Fikiri watu wanaokutazamia au kukutegemea..
Ukishafikir Vyote hivyo ndyo ufanye maamuzi..

Kesi zote hutengenezwa mitego huwekwa bhasi jihadhari usiwe mmoja ya walio kwenye mitego na kesi maana hutatoka..
 
Achana nayo,wakati mwingine usipende sana kutafuta haki haki mengine achilia nature ifanye kazi.
Suala lako ukimwambia mwajiri kwa ushahidi atalipa uzito atakuhamisha hata ndani ya mkoa.
Hii coment nzuri sana isikilize na inabdi upeleke malalamiko kbla huyo diwani (Mwanasiasa) hajakupeleka Kwenye baraza la madiwani kwa utovu wa Nidhamu
 
Naelewa the situation! Onyo usitafute haki kabisa ukiwa maeneo hayo unless unataka Uifate hiyo Haki watu waseme "Umetangulia Mbele ya Haki"..

Huwezi kuipata Haki kwa mtu alinuia Kisasi,Huwezi kuipata suluhu kwa Mtu mwenye Hasira huwezi kupata Msaada hapo na wala usiitafute vinginevyo wakikushindwa huko watakutafutia Zengwe na nakuApia kuwa Hilo zengwe hautachomoka na ndo itakuwa mwisho wako..

Utapoteza kazi yako,Heshima yako na hata utu wako...

Umri wako ni Mdogo sana bado kijana mdogo Bado unasafari ndefu sana usiharibu safari yako kwa kiburi cha kushawishiwa na watu..

Wengi walioharibu Future zao ukiuliza watakuambia "niliambiwa na watu nisiachie mpaka nipate haki yangu" lakini wote sasa ndo wanaipata Haki kwenye Magereza na jela..

Nikuulize hivi unafikri wanaopakaziwa kesi za kuiba madawa ya Hospitali sio watu?
Wanaambiwa wamebaka wajawazito sio watu?
Wanaoambiwa mtoto kashindwa kupata huduma na kafia Hospitali sio watu?
Wanaopewa kesi za kitaaluma zinazopelekwa kuamriwa na Baraza la madiwani (Humo ambamo Mbaya wako yumo) sio watu?..

Kijana kabla hujafanya maamuzi yenye "Ego" ndani yake Fikiri kwanza umefikaje huko Lindi, fikiri Muda uliosoma ,Fikiri kama una watoto au mke fikiri kama una future yako..

Fikiri watu wanaokutazamia au kukutegemea..
Ukishafikir Vyote hivyo ndyo ufanye maamuzi..

Kesi zote hutengenezwa mitego huwekwa bhasi jihadhari usiwe mmoja ya walio kwenye mitego na kesi maana hutatoka..
Dahhhh,umenisema snaa hapa mkuu hadi nimetoa chozi hapa,suluhu nikuondoka nakuwithdaral case kutoka police
 
Kuondoka nnaondoka ila sasa kesi hiii nnaifatiliaje katika ngazi za kisheria mkuu maana nahisi kudhulumiwa nakuonewa kwa kutungiwa uongo kinachoniuma zaidi nikuzidi kuwaona watesi wangu wakila Bata mtaani hadi nahisi hivi hivi Tanzania au niko nchi za nje,how come mtu afanye tukio kubwa(mhalifu) halafu anaendelea kula maisha halafu mm nikiyetishiwa maisha ndio niishi kwa wasiwasi
Hii ndiyo Tz,unakufa unajiona
 
UKISema watu wa Lindi wana roho mbaya sikuelewi kabisa,mimi msukuma wa kanda ya ziwa,huu ni mwaka wa kumi niko liwale kwa wangindo nafundisha huku mpigamiti shule ya msingi,watu hawa si wagomvi hata kidogo,ni watu wema sana ,ila kwa kesi ya mke wa mtu nakupa pole,

Nimekaa huku sijawahi ona wala kusikia mtu kauawa kwa kucharangwa mapanga wala ugomvi wowote.
 
Ukiona hal ya hatarish kwa ufanis wa kaz zako na uhai wako nenda direct kwa mkurugenz wako mwambie na ukumbuke serkal ina work on paper bila maandsh apo sku sio nying pengo lako ltazibika kiutendaj na kwenye familia yako ndio pengo litabak mwambie nia yako ya kuomba kuamishwa imedtly kutokana na hal hatarish akigoma omba kuacha kaz au ondoka halmashaur iyo nenda tume ya utumish wa umma dodoma waeleze jambo lako kwa maandish uamisho utakukuta nyumban ukiwa salama sasa we lelux apo kijijin usipozkwa bila kuagwa
 
Kuondoka nnaondoka ila sasa kesi hiii nnaifatiliaje katika ngazi za kisheria mkuu maana nahisi kudhulumiwa nakuonewa kwa kutungiwa uongo kinachoniuma zaidi nikuzidi kuwaona watesi wangu wakila Bata mtaani hadi nahisi hivi hivi Tanzania au niko nchi za nje,how come mtu afanye tukio kubwa(mhalifu) halafu anaendelea kula maisha halafu mm nikiyetishiwa maisha ndio niishi kwa wasiwasi
Kukubali kuwa umeshindwa napo pia ni ushindi ndugu.

Hakimu wa kweli ni Mungu, muachie akuhukumie. As long as wewe mwenyewe unajua ukweli katika nafsi yako basi usiwe na haja na mengine.

Mwenye dhamira yake haachi mpaka itimie. Dhamira ya huyo mtu ni kukuangamiza, hatotulia mpaka atimize jambo lake.

Nusuru nafsi yako na weka imani kuwa Mungu atakulipia.
Huo uongo aliokuzulia hauna mashiko nje ya hapo ulipo. Ukiondoka hapo utaacha mabaya yote hapo hapo.

Kila la heri na Mungu akusimamie.
 
Mm nimtumishi wa umma katika idara ya afya, miezi sita nyuma nilihamia katika kata moja maeneo ya mkoa wa lindi kutumikia wananchi.

Sasa katika utoaji wa huduma eneo nilipangiwa kikazi kama incharge wakituo husika, huduma zikapendwa nawananchi kiasi cha kupelekea kushuka mapato katika moja ya duka ladawa la mtubinafsi lililokaribu na eneo langu la kazi.

Jambo ambalo lilipelekea chuki kwa bwana huyo kuwepo dhidi yangu, huyo bwana akanitengenezea scandle yakua nnatembea na mke wa diwani jambo ambalo sikuwahi kulifanya wala kujihusisha nalo, ilikua mwezi wapili tr10/02/2024 nakumbuka ilikua mechi ya Afcon mshindi wa tatu kati ya Kongo drc na south Africa.

Baada ya mechi nikarudi kulala majira kama ya sasita kabla usingizi haujanikamata vyema niliona moto mkubwa uliowashwa kwa mafuta ya petrol uliowashwa kwenye dirisha la chumba changu, na NONDO yenye lengo la kunichoma ila nikapiga kelele na kuwahi kuzima moto ,kisha kuamsha majirani baadae watu wengi wakakusanyika kwenye eneo la tukio, asubuhi ya tr 11/02/24 police walikuja pamoja na uongozi wa kata kuchukua maelezo na pia kufanya mkutano na wananchi.

Kwasasa suala hilo baada ya mm mwenyewe kulipeleka police kumekua na mazingira ya mdororo wa shauri langu huko police,naona kama wahusika wametoa rushwa ikiwa ni pamoja na kuwaona watuhumiwa wakidhurula tu mtaani bila ya kukamatwa nakwamba jambo langu linaonekana kutotiliwa nguvu.

Nimejaribu kwenda kwa mkuu wa kituo OCS anaonekana kunikalipia nakuniambia kua mnazingua nnaleta Majungu sasa naona kabisa suala hili ambalo nadhani nijaribio la mauaji dhidi yangu,nifanye hatua gani kuweza kupata haki yangu.

Naomba nisamehewe kwa uandishi mbovu.
Omba kuhamishwa haraka sana.
Onesha kuwa una dharura nyingi kuzidi muda wa kazi kila siku.
 
Kukubali kuwa umeshindwa napo pia ni ushindi ndugu.

Hakimu wa kweli ni Mungu, muachie akuhukumie. As long as wewe mwenyewe unajua ukweli katika nafsi yako basi usiwe na haja na mengine.

Mwenye dhamira yake haachi mpaka itimie. Dhamira ya huyo mtu ni kukuangamiza, hatotulia mpaka atimize jambo lake.

Nusuru nafsi yako na weka imani kuwa Mungu atakulipia.
Huo uongo aliokuzulia hauna mashiko nje ya hapo ulipo. Ukiondoka hapo utaacha mabaya yote hapo hapo.

Kila la heri na Mungu akusimamie.
Suluhu ni kuhama hapa,naona ndio jambo la muhimu hata nduguzangu wameniambia nihame
 
Asante sana kaka,kuna mazungumzo ya simu kwa mkewe diwani akinitahadharisha juu ya usalama wangu kwavile baada ya kuchochewa nayule bwana muuza duka ladawa mumewe alienda kumuwashia moto ndio akanipiga kupitia namba ngeni
Hizi tahadhari nikabla ya tukio lenyewe.
Ina maana Mke wa Diwani mna mawasiliano? Ya kikazi? Ni mwajiriwa mwenzio? If not, mmekutana wapi hadi mkaanza kupigiana simu?? Sitaki kuwa biased
 
Kaka sijamkula wala kuwaza tu hizo mambo ,hapo Nikua alikua anatumia namba ngeni napia namba ambazo zilikua anaitumia nnazo kwa maswala ya kiusalama zaidi ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri .jambo nizito sana
Namba za Mke wa Diwani zinakusaidiaje kiusalama?? Something is not adding up
 
Kwa sasa kuna wimbi kubwa sana la Vijana kutembea na wake za Watu, nakushauri Acha kabisa hizo tabia
 
Back
Top Bottom