Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
You are not serious, unasema takrima ni mambo ya kawaida wakati inapingwa vikali, ukiambiwa utaviharibu vibinti unasema hayo ni ya kawaida tu kwa wa-Afrika, ninavyokuona mimi kupitia majibu yako nakushauri bora utafute kazi nyingine ya kufanya kuliko kupoteza muda kugombea ubunge.