Naenda jimboni... Nitawamiss sana

Mzee wa docebit... yaani kama nakuona ulivyomaind huyu dude!!! Inawezekana kabisa anaandika ka-study au assignment ya sociaology huko alipo na hapa ndio venyu ya kupata respondents badala ya questionnaires

Mpotezee aisee

Amani Omnia

Pamoja sana.....VOS OMNIA!
 
Mkuu,

Nakutakia mafanikio mema huko wilayani. Tumesema sana na inabidi wengine kujiingiza huko na kujaribu kufanya yale yaliyowashinda wengi.

Kama unataka baadhi ya TIPS tuwasiliane kwa PM japo sina uzoefu mkubwa ingawaje miezi mitano ya kuwa kwenye firing line kwa vyovyote kuna vitu nimejifunza.

I am for change na yeyote anayeamini katika mabadiliko ya kweli bila kujali yuko kambi gani, mimi nitampa japo moral support. Wengine mabingwa wa kusema lakini vitendo sifuri. Matendo huvuma zaidi ya maneno matupu.

Safari njema na mafanikio mema.
 
ccm sio mbaya, watu ndio wabaya na kama mtanzania kijana ninayekubalika jimboni na watu wa kada balimbali, naamini ninalo jukumu la kuchangia chachu ya mabadiliko ndani ya ccm na hatimaye itatimiza matarajio ya wanachi. kumbuka mkuu, mkono ukichafuka haukatwi bali hsafishwa! tutafika tu.

kuhusu ushindi, sina shaka hata idogo mkuu, nitapita tu. tuombe uzima

Hapo ndio napata shaka. Malengo yako ni thabiti kuwa unataka kuwa mbunge, na unachopigania nadhani kinaeleweka. Katika hiyo equation sioni kama umeweka agenda ya maendeleo ya mtanzania. Hata hivyo kila la kheri katika malengo yako. I may be wrong though...
 
Mkuu,

Nakutakia mafanikio mema huko wilayani. Tumesema sana na inabidi wengine kujiingiza huko na kujaribu kufanya yale yaliyowashinda wengi.

Kama unataka baadhi ya TIPS tuwasiliane kwa PM japo sina uzoefu mkubwa ingawaje miezi mitano ya kuwa kwenye firing line kwa vyovyote kuna vitu nimejifunza.

I am for change na yeyote anayeamini katika mabadiliko ya kweli bila kujali yuko kambi gani, mimi nitampa japo moral support. Wengine mabingwa wa kusema lakini vitendo sifuri. Matendo huvuma zaidi ya maneno matupu.

Safari njema na mafanikio mema.

Sidhani kama kuamua kugombea ni ushujaa kama mnavyotaka tuelewe. Na si lazima wote wawe front line kwenye battle, wengine tunaweza kuwa kubaki kama critics ili msione mawazo yenu ni gospel truth.
Ninapata shaka na mabadiliko mnayotaka kuyaleta, nilidhani tunaweza kubadili hii monopoly ya power katika nchi, kwani ndio inaonekana kuwasahaulisha watu wengine na kujifanya majimbo na uongozi ni kwao tu. The fact that wote mnang'ang'ania kugombea kupitia CCM kwa sababu ni chama ambacho kina himaya kongwe inanipa shaka kuwa either hamna confidence or you are simply cowards and selfish.
Mnachoita mabadiliko kwenu ni ninyi kuingia madarakani, kuendeleza utamaduni ule ule wa CCM, badala ya wale waliopo sasa.
Kama mnajiamini kuwa mnakubalika, mnaweza kurise kwenye chama chochote cha siasa, badala ya kupoteza muda wa miezi mingi kulumbana na watu waliohodhi madaraka, nani alikuambia kuwa ubunge ni lazima upitie CCM?

Nazidi kupata shaka sana kuhusu fikra zetu za mabadiliko na future ya nchi yetu.

/sorry...
 
Katika kipindi cha wiki tatu nitafanya safari kadhaa katika nchi takriban nne hivi ikiwa ni katika kuweka sawa masuala yangu huku ughaibuni kwani februay nitarejea nyumbani ambapo pamoja na mambo mengine nitatangaza rasmi nia yangu ya kugombea ubunge jimboni kwangu.


Ntarajia kugombea ubunge kupitia jimbo la uchaguzi kwa tiketi ya ccm. kutokana na ukweli kwamba kura za maoni za ccm zitapigwa na wanchama wote, ni wazi kuwa kazi ya kuweka mambo sawa jimboni ni kubwa zaidi kuliko katika chaguzi zilizopita. Tayari timu yangu iko jimboni kwa wiki kadhaa sasa na ninalazimika kwenda huko mapema kuiongezea nguvu hasa ikizingatiwa kuwa baada ya march nitakuwa tena na safari nyingine za ng’ambo.

Kutokana na ratiba yangu kuwa ngumu katika kipindi hiki, ni wazi sitaweza kuwa na muda mwingi ndani ya JF halikadhalka nikiwa jimbon siaweza kupata connection ya uhakika ya internet na hivyo nitawamiss sana wapendwa.

Nawatakien kila la her na tuendelee kuombeana heri katika harakati mbalimbali tuanazofanya kwa manufaa yetu na nchi yetu

asanteni



Kila la kheri mheshimiwa mtarajiwa,ila tu la msingi huko jimboni usiwe unaenda kutoa pesa takrima ilishazuiwa,kuhusu ughaibuni angalia usije ukaslimu na kuuza jimbo lako kwa manyangau!!!!!!!!!!!!!
 
Umeogopa nini kuchukua fomu ya urais? au vitisho vya yule nanii? na akisema atakayempinga mbunge wa hilo jimbo lako naye atananii je utajitoa kama shibunanii?
 
Back
Top Bottom