Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 22
- Thread starter
- #121
Mheshimiwa sana Mgombea Ubungo kumbe umezoea kuwapotosha watu inawezekana kabisa unatupotosha tena kwa huko kujitetea kwako, tutaaminije kama sasa ndiyo unasema ukweli.
Unajua ni vigumu sana kwa mtu muongo kuaminika kama amebadilika hata akisema ukweli watu hawataamini.
ukiangalia post na threds za watu engine hapa JF utaamini kuwa nami nilitumia tu mtindo huo wa uandishi kufikisha ujumbe, na sikufanya kitu cha ajabu ambacho wengine hawafanyi. jitahidi utaona