Naachika kila siku

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,611
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
 
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?

Inawezekana utakuwa na nguvu za giza zinakufuatilia ili usiwe na mahusiano yoyote na wanaume. Jitahidi kushughulikia tatizo hili. Kama ni mkristo nenda kanisani kwa ajili ya ushauri na maombi.
 
Smile embu jichunguze mwenyewe kwanza hakuna aliye mkamilifu utaacha wangap?hapo kwenye kutibua inategemea alikutibua nini inawezekana wewe ndio ulikuwa chanzo cha mtibuano ushauri wangu rudi chini jitathmini mwenyewe kabla ya kuanzisha uhusiano wowote Uvumilivu nao una nafasi yake kwenye mapenzi.
 
Smile embu jichunguze mwenyewe kwanza hakuna aliye mkamilifu utaacha wangap?hapo kwenye kutibua inategemea alikutibua nini inawezekana wewe ndio ulikuwa chanzo cha mtibuano ushauri wangu rudi chini jitathmini mwenyewe kabla ya kuanzisha uhusiano wowote Uvumilivu nao una nafasi yake kwenye mapenzi.
wee awa jamaa wana maudhi best mtu unampigia simu hapokei ? khaaa
 
Inawezekana utakuwa na nguvu za giza zinakufuatilia ili usiwe na mahusiano yoyote na wanaume. Jitahidi kushughulikia tatizo hili. Kama ni mkristo nenda kanisani kwa ajili ya ushauri na maombi.
ngoja nimtafute kakobe
 
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Nadhani hapo kwene red ndio jibu sahihi otherwise wewe ni mchawi
 
Hakika waswahili walinena; Nyani haoni kundule; juzi tu hapa jamvini palianzishwa mada jinsi gani akina mama wasivyopokea simu na akija kupokea full visingizio, leo wewe simu haijapokelewa tu ushaanza kuweka question makr na kutaka kuvunja uhusiano, je sisi akina baba tutavunja mahusiano mangapi kama hicho kikiwa kigezo? (yaani mtu asipopokea simu tu, piga chini)? kweli mkuki kwa nguruwe
wee awa jamaa wana maudhi best mtu unampigia simu hapokei ? khaaa
 
hakika waswahili walinena; nyani haoni kundule; juzi tu hapa jamvini palianzishwa mada jinsi gani akina mama wasivyopokea simu na akija kupokea full visingizio, leo wewe simu haijapokelewa tu ushaanza kuweka question makr na kutaka kuvunja uhusiano, je sisi akina baba tutavunja mahusiano mangapi kama hicho kikiwa kigezo? (yaani mtu asipopokea simu tu, piga chini)? Kweli mkuki kwa nguruwe
kwani wanaume wana pochi elly?
 
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?

ni watu wachache sana tuna upako wa aina hii......nilikuwa natafuta mwenzangu mwenye karama kama yangu.....kumbe ni wewe Smile......aaahh....halelluyahhhh.....
 
aiyaaaa switie nimekumisije kaka...wewe funguka tu kaka unanijua mimi sina shida...mimi msikivu

Smile jipime kwanza wewe
Ni nini mapungufu yako kabla ya kumlaumu mwenzako
Watu wanakaa kwenye relationship hata miaka mitano na wako safi tuu
Wanayajua mapungufu ya kila mmoja wao na wanayatengeneza
Unatakiw aujiangalie na wewe umekosea wapi na huwa unakosea wapi kabla ya kumnyooshe akidole mwenzako
Ukishajijua hapo sasa kaa na mwenzako myajadili hayo na kuyatafutia majibu
Hakuna mtu ambaye atakuwa malaika bana yaani kila kitu yuko perfect
 
sikushangai wewe wala sikucheki..mimi huwaga i can tell only at the first meeting..wazushi , pasua kichwa , wachunaji wanafahamika mapema tuu...
 
Smile jipime kwanza wewe
Ni nini mapungufu yako kabla ya kumlaumu mwenzako
Watu wanakaa kwenye relationship hata miaka mitano na wako safi tuu
Wanayajua mapungufu ya kila mmoja wao na wanayatengeneza
Unatakiw aujiangalie na wewe umekosea wapi na huwa unakosea wapi kabla ya kumnyooshe akidole mwenzako
Ukishajijua hapo sasa kaa na mwenzako myajadili hayo na kuyatafutia majibu
Hakuna mtu ambaye atakuwa malaika bana yaani kila kitu yuko perfect
NGOJA KAKA....
mtu assume hapokei simu usiku...
wala hakupigii usiku.....
sms hajibu.....eti nilikuwa nimelala..au nacheki mechi
kuna mtu analalaa saa 12? tupilia mbali huko
 
Miss indepent......Smile@
Know it all....atanieleza nini yule
Rule the world....ana kazi yake na mi nina yangu
Men are dogs......wanaume ni malaya hata umpe nini
Mwanaume sio wa kuchekea......if he plays arround, I just suck him out...

Kama haya ndo mafikira yako......uzee utakukuta na malalamiko haya haya
 
sikushangai wewe wala sikucheki..mimi huwaga i can tell only at the first meeting..wazushi , pasua kichwa , wachunaji wanafahamika mapema tuu...
umeona eeeh wapenda uchi tu ...wakafie mbali huko....hawatakiwi kupewa hata sekunde moyoni mwako
 
Miss indepent......Smile@
Know it all....atanieleza nini yule
Rule the world....ana kazi yake na mi nina yangu
Men are dogs......wanaume ni malaya hata umpe nini
Mwanaume sio wa kuchekea......if he plays arround, I just suck him out...

Kama haya ndo mafikira yako......uzee utakukuta na malalamiko haya haya
oooh kaka hata sipo ivo nakuapia basi bahati mbayanameeti wapenda uchi...
 
ni watu wachache sana tuna upako wa aina hii......nilikuwa natafuta mwenzangu mwenye karama kama yangu.....kumbe ni wewe Smile......aaahh....halelluyahhhh.....
amen mama mtumishi tuombeane
 
Back
Top Bottom