Smile; Bado haka kaugonjwa unako?Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
kwani wote ni wabovu?
Inawezekana utakuwa na nguvu za giza zinakufuatilia ili usiwe na mahusiano yoyote na wanaume. Jitahidi kushughulikia tatizo hili. Kama ni mkristo nenda kanisani kwa ajili ya ushauri na maombi.
Umesema akinitibua...Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta.. halafu kichwa cha habari Naachika kila siku!Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
Miss indepent......Smile@
Know it all....atanieleza nini yule
Rule the world....ana kazi yake na mi nina yangu
Men are dogs......wanaume ni malaya hata umpe nini
Mwanaume sio wa kuchekea......if he plays arround, I just suck him out...
Kama haya ndo mafikira yako......uzee utakukuta na malalamiko haya haya
ni watu wachache sana tuna upako wa aina hii......nilikuwa natafuta mwenzangu mwenye karama kama yangu.....kumbe ni wewe Smile......aaahh....halelluyahhhh.....
Naombeni kujua muda sahihi wa kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona visivoonekana?
unatakiwa ujifunze kukaa in a relationshp othrwise ndoa yako haitadumu...miaka itaenda and u wont be settled..everyting is pocble as long as you want itNaombeni kujua muda sahihi wa
kukaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa..
Maana huwa nashangaa kusikia nimekaa na mpenzi wangu miaka 6..7.. Hadi
nane sijui blah blah nyiingi..
Mimi nikitongozana na mtu leo tukikubaliana kesho akinitibua tu sijui
upokei simu .maquestion mark kichwani.... Mimi ndo mwisho hivo nasepa
zangu fasta....... Nashindwa kuelewa wenzangu mna mioyo gani ya kudumu
karne then mnaachana?
Mbona mtu mzushi siku ya kwanza tu utamjua?au mimi naona
visivoonekana?