kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
jamani kama ni kweli basi mungu ameanza kutuonea huruma watanzania,maana huyu mtu si alikuwa anasifia sasa ni tena? Nani? Kamuuzi?,neno KUlOGA ni kumfanya mwanadamu mwezio aribikiwe kwa kutumia hila za kichawi sasa hapa pamoja na ufafanuzi aliotoa baadaye mbona makali ni yale yale any way hatutakiwi kuwanyooshea vidole