Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Huyu bwana si ndo aliyewazuia waumini wake kutoenda kuiga kura km vile yeye sio mzalendo wa taifa hili.....kumbe dhamira yake ilikuwa sadaka kwanza ila kuchagua viongozi bora baadae......hii nchi unafiki hautakuja kuisha........binafsi naona huyu mzee waupako angekuwa wa kwanza kuwekwa ndani kwa kuwa mnafiki yaaani kuwazuia waumini wake kupiga kura aloafu kulalamikia viongozi legheleghe km kikwete waliopo......
Mzeee wa kupaka nae...kwani yeye ni mchawi?........
Mzeee wa kupaka nae...kwani yeye ni mchawi?........