ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Asante BlackBerry.
vipi dada, hali yake kwa leo iko vipi?
Asante BlackBerry.
Mgonjwa anaendelea vizuri na atafanyiwa oparation leo.
Habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha Mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,Asubuhi hii Daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-ray.
Habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha Mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,Asubuhi hii Daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-ray.
Amen,salamu zako zimefika mkuu!Mwambie awe na Imani kwani Mi kwa nafsi yangu nimemweka katika hali ya Imani na atafanyiwa hiyo opereshen na ataenenda vema kbs. Mpe salaam zangu nyingi na MUNGU tunayemwamini atafanya miujiza ktk hali yake ya kuweza kupona mapema tofauti na itarajiwavyo. Amen!!
Anaendelea vizuri tu fais, badae jion ndio atafanyiwa operation.cantalisia mzee mtambuzi anaendeleaje????
Amen,salam zimefika Baba Askofu.Asante kwa taarifa Cantalisia
Mungu atamponya, yuko katika sala zetu
habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,asubuhi hii daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-ray.
Asante mwaya tuko pamoja!tunasshukuru kwa taarifa cantaalisia