Asante sana.Poleni sana, yeye na wote.
Amen,salam zimefika.Poleni sana. Mungu amponye mzee na awape msaada unaohitajika ninyi wote.
pole sana CantalisiaHabari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambapo daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji UPDATE 26,Oct.Habari za asubuhi wapenda,napenda kuwajulisha Mzee anaendelea vizuri na anawashukuru kwa salam zenu na maombi yenu,Asubuhi hii Daktari wake ameshaconfirm kuwa operation itafanyika leo saa kumi jion,na mzee bado yupo amepumzishwa pale regency hospital chumba cha casuality kilichopo karibu na chumba cha x-rayUPDATE 26,Oct.Wapendwa napenda kuwajulisha kuwa kwa habari za mda huu ile operation ya Mzee Mtambuzi imeairishwa mpaka kesho saa kumi na moja alfajiri,hii ni kutokana na kuwa na wagonjwa wengine ambao kesi zao ziko sirias sana na zinahitaji operation ya haraka zaidi na madaktari ni wachache wamezidiwa, hivyo mgojwa ataendelea kuwepo hapo regency mpaka kesho akisubiri zamu yake ya kufanyiwa operation.
Asante mkuu!pole sana Cantalisia
Salam zimefika mkuu!mpe pole sana mzee wetu, huwa namdhania kama makwaia wa kuhenga.