Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Pole sana kaka Mtambuzi,

Ni Mungu pekee anayeweza kukuteteana kukupigania, nasi tunamuangalia yeye na kumuomba ili upone haraka. Cantalisia, tunashukuru kwa taarifa na tunaamini utaendelea kutupa feedback
 
Pole sana kaka Mtambuzi,

Ni Mungu pekee anayeweza kukuteteana kukupigania, nasi tunamuangalia yeye na kumuomba ili upone haraka. Cantalisia, tunashukuru kwa taarifa na tunaamini utaendelea kutupa feedback
Tuko pamoja nitakuwa na wa update kila kinachoendelea kuhusu mzee mtambuzi!
 
pole sana mzee wetu,mungu ni wa kila mtu na ni mwema!! inshaalaah utapona! Mamito canta,thenx alot for such info.be blaced!!
 
pole sana mzee wetu,mungu ni wa kila mtu na ni mwema!! inshaalaah utapona! Mamito canta,thenx alot for such info.be blaced!!
Amen mpnz,tuko pamoja na nitakuwa nawa update kila kinachoendelea,mzima lkn ww?
 
Hakika muda inayoyoma kama kawa Cantalisia!!!!!!!!!! Hebu tujuze 2,3 kuhusu hali ya mpendwa wetu mzee wetu anavyoenenda mpaka majira haya.............!!!!!!!!!!!!!
 
Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambato daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login

Aisee. Tumshukuru Mungu kwa kumnusuru uhai wake, ila tumuombee amrudishie afya yake mapema. Amina
 
Hakika muda inayoyoma kama kawa Cantalisia!!!!!!!!!! Hebu tujuze 2,3 kuhusu hali ya mpendwa wetu mzee wetu anavyoenenda mpaka majira haya.............!!!!!!!!!!!!!
Kwa habari za mda huu Mzee matambuzi amesharudishwa Regency amepumzishwa wodini kwa ajili ya kufanyiwa operation ya mkono uliovunjika saa kumi na moja jion,kamepatiwa dawa ya maumivu kule agakhan,na huyo daktari wa mifupa ndio atacheki na mbavu upande wa kushoto nao umeathirika na ajali hiyo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom