Poleni sana mungu hatamjalia atapona..
hapo ni atamjalia ..mimi teacher wa kiswahili
Poleni sana mungu hatamjalia atapona..
Tuko pamoja nitakuwa na wa update kila kinachoendelea kuhusu mzee mtambuzi!Pole sana kaka Mtambuzi,
Ni Mungu pekee anayeweza kukuteteana kukupigania, nasi tunamuangalia yeye na kumuomba ili upone haraka. Cantalisia, tunashukuru kwa taarifa na tunaamini utaendelea kutupa feedback
Amen mpnz,tuko pamoja na nitakuwa nawa update kila kinachoendelea,mzima lkn ww?pole sana mzee wetu,mungu ni wa kila mtu na ni mwema!! inshaalaah utapona! Mamito canta,thenx alot for such info.be blaced!!
Uko naye hapo?Asante mwaya,salam zimefika!
No babu nawasiliana na my wife wake ndio ananipa hizi habari ndio wako naye.Uko naye hapo?
Aisee, mpe na pole mkewe. Mwambie tuko naye bega kwa bega katika maombi.No babu nawasiliana na my wife wake ndio ananipa hizi habari ndio wako naye.
Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambato daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login
Usijali babu zimefika,naye ameahidi kunijuza kila kinachoendelea ili nikiweke jamvin wadau wajue!Aisee, mpe na pole mkewe. Mwambie tuko naye bega kwa bega katika maombi.
Kwa habari za mda huu Mzee matambuzi amesharudishwa Regency amepumzishwa wodini kwa ajili ya kufanyiwa operation ya mkono uliovunjika saa kumi na moja jion,kamepatiwa dawa ya maumivu kule agakhan,na huyo daktari wa mifupa ndio atacheki na mbavu upande wa kushoto nao umeathirika na ajali hiyo!Hakika muda inayoyoma kama kawa Cantalisia!!!!!!!!!! Hebu tujuze 2,3 kuhusu hali ya mpendwa wetu mzee wetu anavyoenenda mpaka majira haya.............!!!!!!!!!!!!!