Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Poleni sana na Mwenyezi Mungu amjalie Afya njema na kurudia hali yake ya awali.
 
Cantalisia vipi maendeleo....
Ni kwamba majibu ya x- ray yametoka na amevunjia vibaya mfupa wa mkono sehemu ya karibu kiganjana ana maumivu makali sana ya huo mkono na kifuan,kwa sasa amelazwa hapo regency anasubiriwa daktari wa mifupa kutoka muhimbuli ndio aje adeal na hiyo kesi yake.
 
Ni kwamba majibu ya x- ray yametoka na amevunjia vibaya mfupa wa mkono sehemu ya karibu kiganjana ana maumivu makali sana ya huo mkono na kifuan,kwa sasa amelazwa hapo regency anasubiriwa daktari wa mifupa kutoka muhimbuli ndio aje adeal na hiyo kesi yake.
Dah!!! Pole sana mtambuzi tuzidi kumuombea ili Mungu amjalie apate nafuu na hatimaye apone kabisa
 
pole sana mwana jf mwenzetu,Mungu atakusaidia utapona na kurejea katika hali ya kawaida
 
Kwa taarifa za mda huu Mzee mtambuzi amehamishiwa Agakhan kutokana na maumivu makali aliyonayo kwan tangu amefika Hapo regency hakupata huduma yoyote hata dawa ya kupunguza maumivu hawakumpa pamoja na kulalamika kuwa nanjisikia maumivu makali kifuan, wamemfanyia kipimo cha x-ray tu,anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mkono sehemu iliyovunjika baada ya daktari kutoka muhimbili kufika!
 
Kwa taarifa za mda huu Mzee mtambuzi amehamishiwa Agakhan kutokana na maumivu makali aliyonayo kwan tangu amefika Hapo regency hakupata huduma yoyote hata dawa ya kupunguza maumivu hawakumpa pamoja na kulalamika kuwa nanjisikia maumivu makali kifuan, wamemfanyia kipimo cha x-ray tu,anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mkono sehemu iliyovunjika baada ya daktari kutoka muhimbili kufika!

Mungu AMPONYE haraka....
 
Kwa taarifa za mda huu Mzee mtambuzi amehamishiwa Agakhan kutokana na maumivu makali aliyonayo kwan tangu amefika Hapo regency hakupata huduma yoyote hata dawa ya kupunguza maumivu hawakumpa pamoja na kulalamika kuwa nanjisikia maumivu makali kifuan, wamemfanyia kipimo cha x-ray tu,anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mkono sehemu iliyovunjika baada ya daktari kutoka muhimbili kufika!
Asante kwa taarifa Canta na tunaomba Mungu amponye haraka na ampunguzie maumivu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom