mzee wandimu
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 470
- 229
get well soon kiongozi tutamisi makala zako jukwaa la maloveeeee!
Ni kwamba majibu ya x- ray yametoka na amevunjia vibaya mfupa wa mkono sehemu ya karibu kiganjana ana maumivu makali sana ya huo mkono na kifuan,kwa sasa amelazwa hapo regency anasubiriwa daktari wa mifupa kutoka muhimbuli ndio aje adeal na hiyo kesi yake.Cantalisia vipi maendeleo....
Asante mwaya,salam zimefika!asante kwa taarifa
mpe pole sana Mungu atamjalia afya njema tena
Dah!!! Pole sana mtambuzi tuzidi kumuombea ili Mungu amjalie apate nafuu na hatimaye apone kabisaNi kwamba majibu ya x- ray yametoka na amevunjia vibaya mfupa wa mkono sehemu ya karibu kiganjana ana maumivu makali sana ya huo mkono na kifuan,kwa sasa amelazwa hapo regency anasubiriwa daktari wa mifupa kutoka muhimbuli ndio aje adeal na hiyo kesi yake.
Poleni sana mungu hatamjalia atapona..
Kwa taarifa za mda huu Mzee mtambuzi amehamishiwa Agakhan kutokana na maumivu makali aliyonayo kwan tangu amefika Hapo regency hakupata huduma yoyote hata dawa ya kupunguza maumivu hawakumpa pamoja na kulalamika kuwa nanjisikia maumivu makali kifuan, wamemfanyia kipimo cha x-ray tu,anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mkono sehemu iliyovunjika baada ya daktari kutoka muhimbili kufika!
Asante kwa taarifa Canta na tunaomba Mungu amponye haraka na ampunguzie maumivuKwa taarifa za mda huu Mzee mtambuzi amehamishiwa Agakhan kutokana na maumivu makali aliyonayo kwan tangu amefika Hapo regency hakupata huduma yoyote hata dawa ya kupunguza maumivu hawakumpa pamoja na kulalamika kuwa nanjisikia maumivu makali kifuan, wamemfanyia kipimo cha x-ray tu,anatarajia kufanyiwa upasuaji wa mkono sehemu iliyovunjika baada ya daktari kutoka muhimbili kufika!