William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #81
Niliogopa kuandika haya! Mtoa mada anazidi kuonyesha uelewa finyu alionao kwenye masuala ya taifa....mkuu unakumbuka wale akina Nalaila Kiula walivyohukumiwa? Mtikila alivyofungwa jela? Niliposoma nikachoka kabisa eti bila aibu mara 3 my footy....
- Nimeongelea high profile political cases ambazo wahusika walikuwa bado wapo kwenye power, sio wale wastaafu kina Kiula ambao wala hawakufungwa, na hata aliyefungwa aliachiliwa kabla hajamliza kifungo, I mean sio siri hapa JF tuna kazi kubwa sana kuelimisha taifa! ha! ha! ha! wewe ninakuheshimu So sitakupa Doze! ha! ha! ha! ha!
William @ NYC, USA.