My opinion: Je serikali ya CCM iko serious kweli au ni kiini macho tu

- Mkuu nimekusoma naona una tatizo kubwa sana kuliko unayoyasema! ha! ha! lakini naomba kukukaribisha sana, karibu ninakuosma sana between the lines kwamba una tatizo kubwa sana, ni vyema ukalisema kuliko kuzunguka zunguka! ha! ha! ha!, Umenivunja mbaavu sana na majungu majungu! ha! ha! ha!

William @ NYC, USA.
hakuna issue ya majungu kama unasoma btw line kasome ile blackmail yako ya kwamba wewe ndio umefanya watu wasiamini jf sio ya CHADEMA.!!!!!!!!
SO HUYO ULIYEKUWA UNAMJIBU UNATAKA AFANYE JE? anywa kama unasoma btw line nadhani hiyo tabia utaiacha, pili punguza ukikwete kwenye post zako unacheka sana.
point ni kwamba huu sio wakati wa watu kuwatafutana wenzao au kuwagandamiza kwa sababu walipata nafasi furani katika jamii kufanya kitu furani, ndio maana ni lisema kwa kuzingatia kwamba wewe ni sharehold sio sahihi in professional way kusema hivyo, kama ulisema ni sehemu ya umiliki wao ila sio kuja kutumia huo msuli hapa jamvini.
nimeshasema hapo juu wahandishi wetu bado ni wachanga wanaangalia sana majina badala ya fact.
mwisho mimi siwezi kukupiga wewe majungu wala mtu yeyote hacha kujishusha, in fact nilikezwa na kauli yako,
fikiria mara mbili ulikuwa na maana gani kusema hivyo, kama sio kujikweza?
anyway nitaipotezea hii post ili kuondoa fikra kwamba nakupiga majungu,
nalichukia hilo nane maaana hiyo ni tabia ya jk na nchi umeona ilikofikia, hivyo kunifananisha na jk
umenivunjia heshima katika jamii ,
gooddluck
 
- HOWEVER: Serikali ya CCM ifike mahali sasa isituchukulie sisi wananchi kama ni wendawazimu au walevi walevi flani hivi, ambao tunaweza kudanganyika kirahisi sana na viini macho. I mean huu mwendo wa kasi sana uliotumika katika kusimamia Sheria kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwa nini isitumike na kwenye kesi zingine ambazo ushahidi wake wa maovu against sisi wananchi, na kwa Sheria za Jamhuri yetu upo wazi kabisa! I mean upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Ufisadi wa Radar na BAE, tunajua kwamba upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Richmonduli, tunajua sana kwamba upo ushahidi wa wazi kuhusu Dowans na Kagoda, sasa kwa nini huku upande wa pili unaowahusu Viongozi wa CCM Serikali inasua sua na kuwa na makengeza? Hivi ni kweli Serikali ya CCM inaweza kwa macho makavu sana na uso kwa uso kutuambia wananchi kwamba Farijala na Maranda tu ndio waliochota hela za EPA? Yaani kazi yote ile na gharama za kamati ya Mwakyembe na Richimonduli mpaka leo kwa nini hakuna kiongozi hata mmoja aliyefikishwa kwenye Sheria? Kumbe Serikali ya CCM ikitaka kusimamia Sheria inaweza kutumia hata midege ya Jeshi ambayo tafsiri yake inaweza kuwa Amiri Mkuu Wa Majeshi yetu ndiye Chief Of Our Law Enforcement, kwa hiyo mkono wa kushoto kuusaidia wa kulia sio dhambi, Bravo for that lakini vipi wahalifu sugu huko ndani ya CCM?

... sasa hii Midege iwabebe na wanaohusika na Radar & BAE, Richmonduli, IPTL, Dowans, Kagoda, EPA, Deep Green, Meremeta, Anabem, Kiwira, ATC na wao tuone wakibebwa na midege ya Jeshi kwenda kwenye Sheria za Jamhuri!: Tunasema hivi sisi wananchi wa Tanzania sio mabwege tena!Well, People Good Night!

William Malecela @ New York City, USA.

Kwanza siamini macho yangu kwa hii post yako kuona kuwa somo la Tanzania Kwanza tulilokufundisha umelielewa vyema, pili endelea kuwa elimisha wahafidhina waliobaki kuwa, vita ya kulikomboa Taifa haichagui sehemu ya kupiga, unapomuona adui mpige popote bora kapata maumivu.

Tatizo la ndugu yetu huyu Mweshimiwa ni kwamba Serikali yake yooote Imewekwa Mfukoni na Mafisadi, hana maamuzi mpaka wao wapende!
 
- Pathetic! ha! ha! ha!

Willie @ NYC, USA.

ninachokusifu mkuu unajitetea na kujaribu kujenga hoja bila chuki wala hasira (tena mkuu naona huna hasira kama za mzee), unaweza ukawa kiongozi mzuri sana badae kama utaacha kujaribu kujenga hoza za kupotosha kwa kutetea chama kilichooza. ....utafaa kuwa kiongozi, anzisha CCM mpya itakayofanana na ile alioacha Nyerere au hamia CHADEMA mkuu.
 


- CCM ina alternatives nyingi sana za wagombea wa Urais, kuliko huko upande wa pili Magufuli, Mwandosya, Membe, Sitta, Mwakyembe, hawana wapinzani!

William @ NYC, USA.
Tatizo la CCM ni la mfumo si mtu binafsi.
Malaika akijiunga na CCM anabadilika ghafla na kuwa fisadi.
Naamini kabisa Lowasa, Chenge na Rostam wakijiunga CDM wanaweza kuwa wazuri tu kwani mfumo hauwapi nafasi ya kuexercise ufisadi.
 
@ Facebook: by William Malecela on Tuesday, June 7, 2011 at 8:36pm

@ NEW YORK CITY-US: Hongera sana Serikali ya CCM kwamba kwa mara ya Tatu toka tupate Uhuru, imeonyesha kuwa ikiamua inaweza kusimamia Sheria bila kujali inamgusa mwananchi au kiongozi wa taifa. Ninasema kwa mara ya Tatu kwa sababu mara ya kwanza ilianza na Balozi Mahalu, halafu Mawaziri Wake Yona na Mramba, na safari hii Mwenyekiti wa Chadema. Kama kawaida siku zote the end of hizi National Legal dramas huwa ni open for debate, na hasa iwapo the end justifies the means, lakini angalau hata kidogo kuliko kutokuwepo kabisaa! Ninasema hivi, kusimamia Sheria za Jamhuri ni lazima kuwepo na gharama na sisi wananchi walipa kodi lazima tuwe tayari kulipia gharama za Serikali yetu kusimamia Katiba ya Jamhuri, ambayo Viongozi wetu wa taifa hukubali kwa kiapo cha vitabu vyetu vitakatifu kwamba bora wafe, kuliko kuona Sheria za Jamhuri zinavunjwa!

- HOWEVER: Serikali ya CCM ifike mahali sasa isituchukulie sisi wananchi kama ni wendawazimu au walevi walevi flani hivi, ambao tunaweza kudanganyika kirahisi sana na viini macho. I mean huu mwendo wa kasi sana uliotumika katika kusimamia Sheria kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwa nini isitumike na kwenye kesi zingine ambazo ushahidi wake wa maovu against sisi wananchi, na kwa Sheria za Jamhuri yetu upo wazi kabisa! I mean upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Ufisadi wa Radar na BAE, tunajua kwamba upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Richmonduli, tunajua sana kwamba upo ushahidi wa wazi kuhusu Dowans na Kagoda, sasa kwa nini huku upande wa pili unaowahusu Viongozi wa CCM Serikali inasua sua na kuwa na makengeza? Hivi ni kweli Serikali ya CCM inaweza kwa macho makavu sana na uso kwa uso kutuambia wananchi kwamba Farijala na Maranda tu ndio waliochota hela za EPA? Yaani kazi yote ile na gharama za kamati ya Mwakyembe na Richimonduli mpaka leo kwa nini hakuna kiongozi hata mmoja aliyefikishwa kwenye Sheria? Kumbe Serikali ya CCM ikitaka kusimamia Sheria inaweza kutumia hata midege ya Jeshi ambayo tafsiri yake inaweza kuwa Amiri Mkuu Wa Majeshi yetu ndiye Chief Of Our Law Enforcement, kwa hiyo mkono wa kushoto kuusaidia wa kulia sio dhambi, Bravo for that lakini vipi wahalifu sugu huko ndani ya CCM?

- I mean we are taking Serikali ya CCM at its words kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwamba iko serious na kusimamia Sheria za Jamhuri, So! tunasema hivi Charity begins at home sasa ni wakati wa Serikali ya CCM kutuhakikishia wananchi kwamba katika kusimamia Sheria za Jamhuri, hakuna aliye juu yake kwa kuwafikisha kwenye Sheria Viongozi wake wengi wanaotuhumiwa kuvunja Sheria ile ile iliyovunjwa na Mwenyekiti wa Chadema, mpaka kumbeba na Midege ya Jeshi letu ili akaridhie Sheria Arusha, sasa hii Midege iwabebe na wanaohusika na Radar & BAE, Richmonduli, IPTL, Dowans, Kagoda, EPA, Deep Green, Meremeta, Anabem, Kiwira, ATC na wao tuone wakibebwa na midege ya Jeshi kwenda kwenye Sheria za Jamhuri!: Tunasema hivi sisi wananchi wa Tanzania sio mabwege tena!

Well, People Good Night!

William Malecela @ New York City, USA.
Nafikiri wanaCCM walioko nje ya Tz wana akili safi tofauti kabisa na wanachama walioko hapa bongo.
Ndugu yangu kwanini kutibu maiti wakati wagonjwa wengi wanakuhitaji na we unapoteza muda mwingi na marehemu afufuke ili aje ashiriki pamoja nasi katika kuleta maendeleo. Itahitaji iman kali sana;
 
<font size="3"><font color="blue"><font color="red">@ Facebook</font>: by <a href="http://www.facebook.com/profile.php?id=1209820481" target="_blank">William Malecela</a> on Tuesday, June 7, 2011 at 8:36pm</font></font><br>
<br>
<font size="3"><font color="blue">@ NEW YORK CITY-US: Hongera sana Serikali ya CCM kwamba kwa mara ya Tatu toka tupate Uhuru, imeonyesha kuwa ikiamua inaweza kusimamia Sheria bila kujali inamgusa mwananchi au kiongozi wa taifa. Ninasema kwa mara ya Tatu kwa sababu mara ya kwanza ilianza na Balozi Mahalu, halafu Mawaziri Wake Yona na Mramba, na safari hii Mwenyekiti wa Chadema. Kama kawaida siku zote the end of hizi National Legal dramas huwa ni open for debate, na hasa iwapo the end justifies the means, lakini angalau hata kidogo kuliko kutokuwepo kabisaa! Ninasema hivi, kusimamia Sheria za Jamhuri ni lazima kuwepo na gharama na sisi wananchi walipa kodi lazima tuwe tayari kulipia gharama za Serikali yetu kusimamia Katiba ya Jamhuri, ambayo Viongozi wetu wa taifa hukubali kwa kiapo cha vitabu vyetu vitakatifu kwamba bora wafe, kuliko kuona Sheria za Jamhuri zinavunjwa!</font></font><br>
<br>
<font size="3"><font color="blue">- HOWEVER: Serikali ya CCM ifike mahali sasa isituchukulie sisi wananchi kama ni wendawazimu au walevi walevi flani hivi, ambao tunaweza kudanganyika kirahisi sana na viini macho. I mean huu mwendo wa kasi sana uliotumika katika kusimamia Sheria kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwa nini isitumike na kwenye kesi zingine ambazo ushahidi wake wa maovu against sisi wananchi, na kwa Sheria za Jamhuri yetu upo wazi kabisa! I mean upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Ufisadi wa Radar na BAE, tunajua kwamba upo ushahidi wa kutosha sana kuhusu Richmonduli, tunajua sana kwamba upo ushahidi wa wazi kuhusu Dowans na Kagoda, sasa kwa nini huku upande wa pili unaowahusu Viongozi wa CCM Serikali inasua sua na kuwa na makengeza? Hivi ni kweli Serikali ya CCM inaweza kwa macho makavu sana na uso kwa uso kutuambia wananchi kwamba Farijala na Maranda tu ndio waliochota hela za EPA? Yaani kazi yote ile na gharama za kamati ya Mwakyembe na Richimonduli mpaka leo kwa nini hakuna kiongozi hata mmoja aliyefikishwa kwenye Sheria? Kumbe Serikali ya CCM ikitaka kusimamia Sheria inaweza kutumia hata midege ya Jeshi ambayo tafsiri yake inaweza kuwa Amiri Mkuu Wa Majeshi yetu ndiye Chief Of Our Law Enforcement, kwa hiyo mkono wa kushoto kuusaidia wa kulia sio dhambi, Bravo for that lakini vipi wahalifu sugu huko ndani ya CCM?</font></font><br>
<br>
<font size="3"><font color="blue">- I mean we are taking Serikali ya CCM at its words kwenye ishu ya Mwenyekiti wa Chadema, kwamba iko serious na kusimamia Sheria za Jamhuri, So! tunasema hivi Charity begins at home sasa ni wakati wa Serikali ya CCM kutuhakikishia wananchi kwamba katika kusimamia Sheria za Jamhuri, hakuna aliye juu yake kwa kuwafikisha kwenye Sheria Viongozi wake wengi wanaotuhumiwa kuvunja Sheria ile ile iliyovunjwa na Mwenyekiti wa Chadema, mpaka kumbeba na Midege ya Jeshi letu ili akaridhie Sheria Arusha, sasa hii Midege iwabebe na wanaohusika na Radar &amp; BAE, Richmonduli, IPTL, Dowans, Kagoda, EPA, Deep Green, Meremeta, Anabem, Kiwira, ATC na wao tuone wakibebwa na midege ya Jeshi kwenda kwenye Sheria za Jamhuri!: Tunasema hivi sisi wananchi wa Tanzania sio mabwege tena!</font></font><br>
<br>
<font size="3"><font color="blue">Well, People Good Night!</font></font><br>
<br>
<u><font size="4"><font color="red">William Malecela @ New York City, USA.</font></font></u>
<br>Nafikiri wanaCCM walioko nje ya Tz wana akili safi tofauti kabisa na wanachama walioko hapa bongo.<br>Ndugu yangu kwanini kutibu maiti wakati wagonjwa wengi wanakuhitaji na we unapoteza muda mwingi na marehemu afufuke ili aje ashiriki pamoja nasi katika kuleta maendeleo. Itahitaji iman kali sana;
 
- Mkuu angalau una hoja sana, isipokuwa tu kwa kusoma matokeo ya uchaguzi uliopita ukweli unajisema wenyewe kwamba sihitaji kuwepo bongo kujua nafasi ya CCM na Chadema, kushangiliwa kwa kuvunja sheria za Jamhuri ni kuvikana kilemba cha ukoka, kwan kwenye kampeni za uchaguzi wa Rais aliyekuwa akishangiliwa sana alikuwa nani mkuu? Mbona idadi ya wabunge haifanani na kushangliwa!

- Unaasema wacheza mpira wanaoshangiliwa bongo kila siku wakigombea urais watapata maana wanashangiliwa sana na wananchi wakiingia uwanjani1 ha! ha! ha! hoja zingine bwana!


William @ NYC, USA.

Tume ya uchaguzi ndiyo imetoa matokeo na idadi hiyo ya wabunge sio wananchi, tuulize tuliokuwepo kwenye mapambano, wakurugezi wa halmashauri walilinda vibarua vyao kwa kutangaza wabunge wa ccm ndio washindi hata kule waliposhindwa, na kwingine ilibidi watangaze wabunge wa Chadema kwa shinikizo la wananchi kwani wananchi wallilinda ushindi wao, sasa next election watu watalinda kwa ukame na masika.
 
- Bob heshma yako kwanza mkuu, well ninakusoma sana lakini ukwel ni kwamba wameshapewa barua kwamba wanaogopwa hapana siamini hilo, ninajua kwamba wana watu wengi ndani ya our Political System, lakini ninaamini kwa 100% kwamba they are done!, na CCM tutairudisha inapotakiwa very soon, maana Nape na Januari ni mtoto wa kuotea mbali sana hao ndio ninawaminia kwamba ndio the future smart CCM!

William @ NYC, USA.
Duh mkuu wangu mbona siku hizi upo nyuma sana ktk habari?...
Kweli wamepewa barua lakini EL alipomfuata JK na kumuuliza hali halisi fikiria ni jibu gani kapewa - Sijatoa amri ya kujiuzuru kwenu..hakuna kitu kama hicho. Na hawa mapacha wanakula bata tu..
Hivi hadi leo mkuu wangu hujamsoma JK kama ni mhuni na unafiki wa kimjini anautumia ktk uongozi wake kuchanganisha watu!... (samahani kwa kutumia lugha mbaya lakini sina tafsiri nyingine!). JK hayupo tayari kupokea aibu ambayo hawa jamaa wataisambaza hivyo anasubiri miaka yake minne iishe hakuna cha kujivua magamba, katiba mpya wala suluhisho la Muungano.
 
ninachokusifu mkuu unajitetea na kujaribu kujenga hoja bila chuki wala hasira (tena mkuu naona huna hasira kama za mzee), unaweza ukawa kiongozi mzuri sana badae kama utaacha kujaribu kujenga hoza za kupotosha kwa kutetea chama kilichooza. ....utafaa kuwa kiongozi, anzisha CCM mpya itakayofanana na ile alioacha Nyerere au hamia CHADEMA mkuu.

Hoja zake nyingi zinamsuta mwenyewe hana anachotetea CCM; anajaribu kufanya propaganda za kusafisha jina, haiwezekani hata siku moja tuuongelee ufisadi wa Tanzania tusimuongelee Malicela. Sijui anatumia vigezo gani kwenye hilo, anatumia muda mwingi kuwashambulia akina Mkapa, EL, RA na wengineo amesahau Mzee ndiye chimbuko la siasa za kinafiki? Huyo ni MZANDIKI MKUBWA anajifanya ni mtetezi wa CCM lakini ukweli unavyojionyesha ni opportunist wa kisiasa kesho utasikia yupo Chadema, fanya uchunguzi wa kina, Jiulize kwa nini thread zinazoitetea CCM zinatolewa haraka. Kuanzisha chama labda anziishe ndani ya JF watanzania sidhani wataridhika na majibu kama haya teh! teh! ha! ha!

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
- ukwel ni kwamba wameshapewa barua kwamba wanaogopwa hapana siamini hilo, ninajua kwamba wana watu wengi ndani ya our Political System, lakini ninaamini kwa 100% kwamba they are done!,

Sawa Mkuu ila naomba nikuulize swali moja tu na baada ya hapo nitakuwa na nyongeza, je ulijisikiaje siku ile Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipotoa kauli kuwa watuhumiwa wa ufisadi wana nguvu sana na wakikamatwa nchi inaweza kuyumba ? Mbona hukujitokeza kumpinga ?

na CCM tutairudisha inapotakiwa very soon, maana Nape na Januari ni mtoto wa kuotea mbali sana hao ndio ninawaminia kwamba ndio the future smart CCM!

Hivi hawa
watoto wa kuotea mbali wana nguvu kuliko Raisi au hata Waziri Mkuu ?Hiyo nguvu wanaitoa wapi - kwa wazee wao ?


 
Bro Bill,

Hongera sana sana kwa hii post ya maana sana. Nimefurahishwa sana na kufarijika na uthubutu wako katika kiwango hiki. Hakika nimesoma vizuri na nimekuelewa vema. Binafsi kama kweli tunataka tusonge mbele viongozi wetu wachukue maamuzi magumu. Najua hii ni ishu ambayo kweli inaweza kulitikisa taifa na kukigawa chama, lakini utakuwa uamuzi wa kuitakika mema nchi yetu.
The big ishu ni utaifa kwanza na mambo ya ushabiki wa chama baadae. Hakika nitajisikia vema kama woote wanaotuhumiwa na ufisadi kuchunguzwa kwa kina sana sana pasipo kumuonea mtu na kupindisha pindisha. Na ikitokea kama kweli wamehusika katika namna moja ama nyingine basi waburuzwe maakamani na sheria ifuate mkondo wake.
Pamoja sana sana kaka! isipokuwa kuwa makini wasije waka KUKOLIMBA kwani hiii thread inachoma sana.

MUNGU IBARIKI Tanzania.

- Well, Mkuu nimekusikia sana, na umeekeweka sana! na UBARIKIWE!

William @ NYC, USA.
 
The man from the Big Apple...Nitakuja kukutembelea siku moja na mimi nitoke bwana. Bongo ni full shida na chama chako.
Anyway...Nadhani wewe unachanganya vitu vingi kwa kusudi la kuleta point unayojua ni wrong. Na hapo ndipo unaponiboa. Yani unatoa point ya waziri kujiuzulu kwa makosa ya polisi kama evidence ya kuwa polisi wanapokea maagizo kutoka kwa serikali? Sioni link yeyote hapo mkuu. Kujiuzulu kwa Waziri ni kuonyesha responsibility na accountability. Nadhani nahitaji kukupa somo fupi sana juu ya maana ya separation of power, serikali na accountability.
1. Polisi ni sehemu ya Serikali ambayo ni sehemu ya tatu ya Dola
2. Serikali inachaguliwa na wananchi kwa hiyo ipo accountable kwa wananchi
3. Polisi haichaguliwi na wananchi - CIVIL SERVANT
4. Polisi haipokei maagizo kutoka kwa serikali bali inalinda au kushinikiza sheria za nchi. (LAW ENFORCEMENT)
Note: Tofauti ya Polisi na civil servants wengine ni duties zao. Police as the only Law Enforcement Body within the State has one duty alone - to protect the Law. Kwa vile Sheria inatungwa na bunge na kuwa interpreted na mahakama, basi Polisi wana link na hizi organs nyingine za State. Lakini wako karibu zaidi na mahakama katika utendaji.
Kwa hiyo Polisi ni sehemu ya Serikali iliyokaribu na Mahakama kwa sababu ya duties zake.
5. Hii ndio TOFAUTI KUU kati ya polisi na vyombo vingine vya serikali (other civil servant duties)
6. Kwa vile serikali inachaguliwa na wananchi na polisi ni sehemu ya serikali, basi pale polisi inapoboronga, ni sawa kwa Waziri kuhusika kujiuzulu. Hii ni sahihi kama vile kukitokea failure katika Govt departments nyingine zozote.
7. Hapo ndipo principal ya accountability comes to play.
8. Kama polisi nayo imevunja sheria, inatakiwa ishtakiwe kama entity nyingine yeyote.

Bottom line ni kuwa POLISI HAIONGOZWI NA CHAMA BALI SHERIA. Ukielewa hilo utakuwa umeelimika mkuu.

- Haya ni mawazo yako mkuu na haina maana ndio the FACT OF LAW OF OUR LAND, AU THE FACT OF POLITICS, badala ya kupoteza muda na hoja iliyo nje ya mada yangu, naomba tukubaliane kutokubaliana,

- Ninasema hivi, Serikali ni ya CCM, Sheria zinasimamiwa na Amiri Mkuu wa Majeshi ambaye ndiye Chief Of Law Enforcement ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, Polisi ipo chini ya Uongozi wa Waziri wa Ndani ambaye ni Mbunge wa CCM, Waziri wa CCM Mwinyi alijiuuzlu kwa sababu ya makosa ya Polisi, sasa kama mpaka hapo somo halijaeleweka basi sina la kuongeza mkuu wala kupunguza!

- HOWEVER: nakutakia siku njema sana!


William @ NYC, USA.
 
Mbona humtaji baba yako malecela alipewa hela na JIETU kwa ajili ya kumuoa mama yenu wa kambo..

- Kupewa mchango wa harusi hakuvunji sheria ya Jamhuri, mbona ni Common sense kidogo tu! ha! ah! ha! ha! ha! Mr. Genius!

William @ NYC, USA.
 
hakuna issue ya majungu kama unasoma btw line kasome ile blackmail yako ya kwamba wewe ndio umefanya watu wasiamini jf sio ya CHADEMA.!!!!!!!!
SO HUYO ULIYEKUWA UNAMJIBU UNATAKA AFANYE JE? anywa kama unasoma btw line nadhani hiyo tabia utaiacha, pili punguza ukikwete kwenye post zako unacheka sana.
point ni kwamba huu sio wakati wa watu kuwatafutana wenzao au kuwagandamiza kwa sababu walipata nafasi furani katika jamii kufanya kitu furani, ndio maana ni lisema kwa kuzingatia kwamba wewe ni sharehold sio sahihi in professional way kusema hivyo, kama ulisema ni sehemu ya umiliki wao ila sio kuja kutumia huo msuli hapa jamvini.
nimeshasema hapo juu wahandishi wetu bado ni wachanga wanaangalia sana majina badala ya fact.
mwisho mimi siwezi kukupiga wewe majungu wala mtu yeyote hacha kujishusha, in fact nilikezwa na kauli yako,
fikiria mara mbili ulikuwa na maana gani kusema hivyo, kama sio kujikweza?
anyway nitaipotezea hii post ili kuondoa fikra kwamba nakupiga majungu,
nalichukia hilo nane maaana hiyo ni tabia ya jk na nchi umeona ilikofikia, hivyo kunifananisha na jk
umenivunjia heshima katika jamii ,
gooddluck

- Nonsense! na ni Wastee!

Willie @ NYC, USA.
 
ninachokusifu mkuu unajitetea na kujaribu kujenga hoja bila chuki wala hasira (tena mkuu naona huna hasira kama za mzee), unaweza ukawa kiongozi mzuri sana badae kama utaacha kujaribu kujenga hoza za kupotosha kwa kutetea chama kilichooza. ....utafaa kuwa kiongozi, anzisha CCM mpya itakayofanana na ile alioacha Nyerere au hamia CHADEMA mkuu.

- Zunguka yote ya mbuyu this was the point, umesikika!

Willie @ NYC, USA.
 
Hoja zake nyingi zinamsuta mwenyewe hana anachotetea CCM; anajaribu kufanya propaganda za kusafisha jina, haiwezekani hata siku moja tuuongelee ufisadi wa Tanzania tusimuongelee Malicela. Sijui anatumia vigezo gani kwenye hilo, anatumia muda mwingi kuwashambulia akina Mkapa, EL, RA na wengineo amesahau Mzee ndiye chimbuko la siasa za kinafiki? Huyo ni MZANDIKI MKUBWA anajifanya ni mtetezi wa CCM lakini ukweli unavyojionyesha ni opportunist wa kisiasa kesho utasikia yupo Chadema, fanya uchunguzi wa kina, Jiulize kwa nini thread zinazoitetea CCM zinatolewa haraka. Kuanzisha chama labda anziishe ndani ya JF watanzania sidhani wataridhika na majibu kama haya teh! teh! ha! ha!

Chama
Gongo la Mboto DSM

- Naona hili neno la oportunists unalijua sana vipi unahusika nalo sana nini? ha! ha! ha!, Chief ni nani aliyekukataza kumfungulia thread Malecela? ha! ha! mbona unajivua nguo na mawazo yako finyu sana, I mean unabadili majina lakini mawazo ni yale yale ya wivu wivu wa kike vipi wewe mkuu kazana hapa tunajadili taifa vipi mkuu huna hoja ya kusaidia taifa? Duh!

- Hayo maneno mekundu ndio unapojivua nguo kwamba wewe ni nani! ha! ah! ah! ha!

William @ NYC, USA.
 
1. Sawa Mkuu ila naomba nikuulize swali moja tu na baada ya hapo nitakuwa na nyongeza, je ulijisikiaje siku ile Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipotoa kauli kuwa watuhumiwa wa ufisadi wana nguvu sana na wakikamatwa nchi inaweza kuyumba ? Mbona hukujitokeza kumpinga ?


2. Hivi hawa
watoto wa kuotea mbali wana nguvu kuliko Raisi au hata Waziri Mkuu ?Hiyo nguvu wanaitoa wapi - kwa wazee wao ?



1. Swali lako la kwanza naomba ushahidi wa hayo maneno kwanza, ndio tunaweza kujadili!

2. Tunaongelea Future ya Tanzania, hakuna aliye bigger than Taifa, Nape na Januari ni the Future ya CCM na moto wa kuotea mbaali sana maana si unaona JF, kwa kawaida huwa tunaongelea watu muhimu tu katika taifa letu, hebu hesabu tuna Thread ngapi za Nape in the last three weeks tu!


William @ NYC, USA.
 
- Haya ni mawazo yako mkuu na haina maana ndio the FACT OF LAW OF OUR LAND, AU THE FACT OF POLITICS, badala ya kupoteza muda na hoja iliyo nje ya mada yangu, naomba tukubaliane kutokubaliana,

- Ninasema hivi, Serikali ni ya CCM, Sheria zinasimamiwa na Amiri Mkuu wa Majeshi ambaye ndiye Chief Of Law Enforcement ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, Polisi ipo chini ya Uongozi wa Waziri wa Ndani ambaye ni Mbunge wa CCM, Waziri wa CCM Mwinyi alijiuuzlu kwa sababu ya makosa ya Polisi, sasa kama mpaka hapo somo halijaeleweka basi sina la kuongeza mkuu wala kupunguza!

- HOWEVER: nakutakia siku njema sana!


William @ NYC, USA.

Poa mkuu...lakini ujue kuwa argument zako hazikuwa nzuri hata kidogo. Mwisho umeamua kubisha ilimradi kubisha!
 
Kijana William Mtoto wa Babu Malecela, naomba maisha na starehe zako za huko New York zimekutawala na kukufanya ujisahau kuwa kwenu ni MTERA-DODOMA VIJIJINI. Then kulazimishwa kwako na wazazi wako kuingia ccm kwa tamaa ya kukuweka ktk system ndio haswa ikuponzayo na kukufanya uwe mpofu na mchanga ktk siasa hususani za tz.
Nimekufatilia sana toka ulipo'post hii thread, binafsi nilitaka kujua objectives zako, premises zako ili niwezejenga conclusion. Nimegundua wewe ni popo ucejua chochote/huna msimamo na hauna upande unao utetea zaidi ya kubwabwaja.
Serikali za ccm inaudhaifu na mapungufu makubwa, ni aina ya serikali isiyo na uthubutu pia ijengwayo na watu wasio wazalendo wa nchi (ni km genge fulani la mafisadi na wala rushwa, watu hatarishi kwa maendeleo ya taifa. Ni serikali iliyoshindwa kusimamia sheria haswa ktk maadili ya viongozi wake. Naomba TUKUBALIANE KWA PAMOJA JUU YA HAYA MAPUNGUFU YA SERIKALI YA CCM then kwa pamoja as youth, lets discus the future of our land (Tanganyika), haya ya kutetea ccm wkt wajua inavuruga sio vizuri, ni upofu wa kujitakia. Once again i would like to thank you for your good, unique and challenging threads, i realy enjoy to read them and comment, though wkt mwingine huwa unaboa! Always kumbuka kwenu ni Mtera,Dodoma Vijijini.
 
Back
Top Bottom