William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- Thread starter
- #41
Hivi SHERIA za nchi hii zinasimamiwa na ccm au Serikali kwa maana ya dola.Unaposema ccm imelishughulikia suala la Mbowe ipasavyo ni sahihi kweli!!?Kweli nimeamini nyoka hawezi kuzaa mjusi mawazo yako sawa sawa Kama ya magamba wenzio wote.
- Serikali ni ya CCM, so CCM is responsible 100% kwa maamuzi yote! Get that!
William @ NYC, USA.