Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Ndio kwanza nimerejea kutoka Nachingwea kumzika mama yangu aliyefariki Jumamosi iliyopita.
Niliwafahamisha wachache hapa kwa sms lakini nilishindwa kuwajuza wengi kupitia jukwaa kwa sababu ya ghafla ya jambo lenyewe kwani nililazimika kuondoka Jumamosi mchana mara baada ya kupata taarifa za msiba ili niwahi mazishi Jumapili.
Nashukuru niliweza kudrive usiku na kufika salama na kuwahi mazishi na nimerejea jijini salama
Niliwafahamisha wachache hapa kwa sms lakini nilishindwa kuwajuza wengi kupitia jukwaa kwa sababu ya ghafla ya jambo lenyewe kwani nililazimika kuondoka Jumamosi mchana mara baada ya kupata taarifa za msiba ili niwahi mazishi Jumapili.
Nashukuru niliweza kudrive usiku na kufika salama na kuwahi mazishi na nimerejea jijini salama