Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,703
Hongera kwa kupanda ndege! Tungejuaje?
Ukome kumendea vya watu!:smash:
Babu wewe hujawahi kupanda ndege?
Hongera kwa kupanda ndege! Tungejuaje?
Ukome kumendea vya watu!:smash:
Jamaa akilewa pombe zinakimbilia chini badala kulewa akili....ulevi nooooma!
the demu of my friend, part one
Leo ndio nimejua kwanini unanikwepa, hufai katika jamii na mbele za Mungu wewe kiumbe, subiri utantambua
nadhan ndo cha maana mhuska alitaka ku2julisha kuwa alipanda ndege.
Tatizo lililopelekea kufanya hivyo ni kupanda ndege ama kunywa bia?
Tutegemee matukio haya ukikwea pipa ama hata bia za mwananyamala zinakulandua?
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake, sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye, tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu.
Kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili, sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga.
Sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar.
Sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI
hahahahaha na kahewa saafi NATURAL AIR! Duu!acha iyo,kuna ya kwenye bajaji ni tamu kuliko zote
kupanda ndege..yaani huyu maenelzo yote hayo alitaka kusema nimepanda ndege na kula denda nikiwa angani basi..hana kingine
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake, sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye, tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu.
Kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili, sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga.
Sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar.
Sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI
Inaonekana msemo wa ulevi noma bado hujauelewa mkuu.Mhhh japo uandishi wako haujaenda vyema ila hayo ni matokeo ya ulichofanya
na ulijua kabisa ni msichana wa rafiki yako na ukakubali kutoa ulimi wako ukampa
na then hapa unakuja kuomba ushauri wa kujutia kile ulichofanya
Na ole wako msichana huyo aonyeshe sms uliyomtumia ndo utakuwa mwanzo wa kuvunja urafiki wako na jamaa na urafiki wa msichana na jamaa maana itaonekana sio mwaminifu
Ha ha ha! Part two itakuwa mtaani lini?the demu of my friend, part one
Hongera kwa kupanda ndege! Tungejuaje?
Ukome kumendea vya watu!:smash:
hii filamu inaitwaje?