My confession: Nilimla denda demu wa rafiki yangu

Hakuna cha ulevi wala nini ni kujiendekeza tu ni sawa na mtu anakuja kukutukana huku amelewa alafu kesho anakuja oooh samahani bwana unajua jana ni pombe tu zile hana lolote uyo alidhamiria kukutukana
Jamaa akilewa pombe zinakimbilia chini badala kulewa akili....ulevi nooooma!
 
Leo ndio nimejua kwanini unanikwepa, hufai katika jamii na mbele za Mungu wewe kiumbe, subiri utantambua
 
Sema msemavyo ila mchovya asali hachovi mara moja. Kama ujafanya kitu, utafanya tu hata baadae, tusidanganyane. Uliyataka mwenyewe. Hongera kwa ujasiri wako wa kuyakimbilia madhila.
 
Tatizo lililopelekea kufanya hivyo ni kupanda ndege ama kunywa bia?
Tutegemee matukio haya ukikwea pipa ama hata bia za mwananyamala zinakulandua?

kupanda ndege..yaani huyu maenelzo yote hayo alitaka kusema nimepanda ndege na kula denda nikiwa angani basi..hana kingine
 
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake, sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye, tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu.

Kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili, sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga.

Sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar.

Sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI

hiyo niliyo bold najaribu kucheki na airlines zote kama wana rooute ya hivo ..maana sijawahi kuona mimi..yaani unakuja dar kwanza halafu unaenda mwanza halafundo unakuja dar tena..khaaaa
 
Ilikuwa mwezi uliopita nikitoka tabora na ndege inayo pita dar kwanza kisha mwanza ndo inakuja dar ,mwanza inakaa 3 hrs yakufaulishiwa,ghafula nikakutana na demu ambaye kuna rafiki yangu alishanitambulisha ni mpenzi wake, sasa ikabidi nimsalimu nakukua naye, tulichoharibu ni kuanza kunywa bia kusubiri ndege pale tabora tulikunya tatu tatu.

Kwa ndege story zikaendelea siti moja na bia mbili, sasa ishu mwanza tulifika sasa tano tukaambiwa ndege ya dar saa mbili tukakaa ka baa ka pale nje tia tungi sana sasa ishu ni usiku kwenye ndege ,sjui ilikuwaje asee tulikula mate ndege inaanza hadi tunafika nilipofika dar nikamuaga.

Sasa asabuhi nikawa normal nkawa nahuzuni sana si tabia yangu kabisa,nkam sms plz ya kwenye ndege yabaki untold na yasirudie akaanza kutuma sms za mapenzi nkawa sipokei na simu sms nadelete pia ,sasa ishu nimerudi tabora jamaa ake z my best tukitoka job tuu huyu kunichukua tukacheze mpira au weekend bar.

Sasa kila akiniita yuko na demu yule wa ndege yaani ananikonyeza mara anikanyage na siku alinifata toilet na kusema kama vipi anaonyesha ile sms ya kusema ya ndege ya ishe humo akinisingizia nimemtongoza yaani skuiz namuepuka msjkaj hadi ananiuliza ,na sina wa kumweleza sjamwambia m2 usumbufu huu ...NISHAURI

ulevi noma.:lol:
 
Mhhh japo uandishi wako haujaenda vyema ila hayo ni matokeo ya ulichofanya
na ulijua kabisa ni msichana wa rafiki yako na ukakubali kutoa ulimi wako ukampa
na then hapa unakuja kuomba ushauri wa kujutia kile ulichofanya
Na ole wako msichana huyo aonyeshe sms uliyomtumia ndo utakuwa mwanzo wa kuvunja urafiki wako na jamaa na urafiki wa msichana na jamaa maana itaonekana sio mwaminifu
Inaonekana msemo wa ulevi noma bado hujauelewa mkuu.
 
Mweleze jamaa yako kilichotokea kwanzia bia ya kwanza.... Mpaka vikonyezo na vitekenyo anavyokufanyia sasa na hakika itamsaidia kama sio sasa hata baadae, ila na wewe ***** sana si ungekula mzigo kabisa. Wanasema "If u want to make a mistake make the big one"
 
Hio ndege nayo micharuko kweli yani inapita Dar mza then Dar? Na unatoka tabora? Sasa hapa sijui ulikuwa unaenda wapi bro, hongera kwa kupiga denda
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom