Mghoshingwa
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 305
- 73
uhauri wa nini tena kaka. Kwa mujibu wa maelwzo yako inaoneha hutaki kufanya tena jambbo lolote na huyu GF wa rafiki yako. fuata dhamiri yako. Ila nakushauri uache pombe hazikufai. Huwezi kuwa Teja wa mapenzi haraka kiasi hicho.