My confession: Nilimla denda demu wa rafiki yangu

uhauri wa nini tena kaka. Kwa mujibu wa maelwzo yako inaoneha hutaki kufanya tena jambbo lolote na huyu GF wa rafiki yako. fuata dhamiri yako. Ila nakushauri uache pombe hazikufai. Huwezi kuwa Teja wa mapenzi haraka kiasi hicho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom