CCM NAMBARI ONE! CCM NAMBARI ONE! furaha nilionayo si kifani.MWIGULU OYEEEE!
Dada yangu Salimia mimi siko upande wowote lakini hili la kumsifu mtu mmoja kila kukicha kunanitia wasiwasi,hata kama CCM wameshinda juhudi ni za wengi wewe umekazania kumsifu mtu mmoja tu ? kama ni shemeji yetu kuwa muwazi tutamuheshimu.Sasa kila kitu kipo wazi kwamba CCM wameshinda kwa margin ya kura +4000. Hii ni kazi ya kijana makini na mahiri sana Nchemba Mwigulu ambayo niliwaeleza toka mwanzo kwamba huyu mtu ni balaa sana sana,,, sasa inueni mioyo na kila mtu atajaza kwa wakati wake. Usiku mwema wote. TUMEPELEKA KILIO MAHALI FULANI.
Sasa kila kitu kipo wazi kwamba CCM wameshinda kwa margin ya kura +4000. Hii ni kazi ya kijana makini na mahiri sana Nchemba Mwigulu ambayo niliwaeleza toka mwanzo kwamba huyu mtu ni balaa sana sana,,, sasa inueni mioyo na kila mtu atajaza kwa wakati wake. Usiku mwema wote. TUMEPELEKA KILIO MAHALI FULANI.
Tutajua ukweli tu siku si nyingi. Lakini CCM mjue kwamba dalili za mvua ni mawingu.
Sasa kila kitu kipo wazi kwamba CCM wameshinda kwa margin ya kura +4000. Hii ni kazi ya kijana makini na mahiri sana Nchemba Mwigulu ambayo niliwaeleza toka mwanzo kwamba huyu mtu ni balaa sana sana,,, sasa inueni mioyo na kila mtu atajaza kwa wakati wake. Usiku mwema wote. TUMEPELEKA KILIO MAHALI FULANI.
Wakuu ipo wapi busara yenu?
Hivi kulikuwa na haja kweli ya kutumia matusi katika hili?
Watu kama ninyi siku zote ndio mnafanya JF izidi kupoteza umaana wake na wote tunaonaekana wahuni huni tu
huyu si ndo yule mke wa mtu aliyefumwa nae gesti we hujui?mWIGULU BWANA YAKO NINI MBONA UNAMFAGILIA SANA HUMU? AU SHOGA WEWE? ACHA UKUWADI NDUGU HV HUONI AIBU?
mWIGULU BWANA YAKO NINI MBONA UNAMFAGILIA SANA HUMU? AU SHOGA WEWE? ACHA UKUWADI NDUGU HV HUONI AIBU?
Ok,, tufanye mii shoga,, ila bottom line CCM imeshinda na MWIGULU ndiye mume wenu. Kaja Slaa, kachukua za uso toka kwa kijana mdogo,, kaja Mbowe kala za mbavu, kaja Zitto ka[ewa za CHEMBE,, CCM wamechukua wameweka aaaahhh, shangilia ushindi unakuja!!1 teh teh teh