Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisifue mvua imemnyea!!!!
Unacheza kweli wewe!!!!!@Kusema Mwigulu ana nguvu ya ushawishi kwa vijana wa Igunga ni uongo mkubwa na ni uzushi, na nikujidanganya kabisa. Ukweli ni kwamba Mwigulu si mwanasiasa kiasilia ni mtu wa kawaida sana, Si katika kuongea wala kujenga hoja, Nina uhakika 100% hakuna kijana yoyote anayeweza kushawishiwa na Mwigulu. Hata kashfa ya kukutwa na mke wa mtu naamini ni bahati mbaya au labda ndio ameamua kuanza huo mchezo sasa. Kwani yuhu mtu si wa kihivyo kabisa. @Hizi hapa chini ni baadhi ya hoja zake ambazo amekuwa akizitumia Igunga, ambazo kamwe haziwezi kuwabadilisha vijana wa Igunga; 1/Hoja ya kumwagiwa tindikali 2/Madai kuwa eti Chadema ni chama cha kikabila 3/Madai ya eti Chadema imeleta makomandoo 4/kuitumia Ilani ya Ccm 2010. @Mtoa mada anakiri kuwa hapo kabla vijana wengi kama si wote wa Igunga walikuwa wanakiunga mkono Chadema, Swali ni nini na nani aliwafanya vijana wa Igunga wawe wanawaunga mkono Chadema?
The fact that he can climb into a podium/stage and address the public after the infidelity incidence shows how far we are as a community in uplifting our moral values.inawezekana pia walikuwa hawajaona show ya mwigulu nchemba kitambo lakini walipo kuja kuona ccm wakishirikiana na TOT wanamleta msanii huyo halafu bule kwa nini wasiende kuangalia show
hakuna kitu, VIJANA WA IGUNGA WENGI NI MALIMBUKENI, WAJANJA WA BUSHI. Chadema noumer wewe!
Watake radhi vijana wa Igunga,, hii wataoneshwa na kuzidi kuharibu hali ya hewa kwa kutukanwa malimbukenihakuna kitu, VIJANA WA IGUNGA WENGI NI MALIMBUKENI, WAJANJA WA BUSHI. Chadema noumer wewe!
Huyu jamaa ni hatari sana sana na ameivuruga CDM vibaya sana. Kbla hajaja hapa Igunga vijana wengi sana kama si wote walikuwa CDM,, sasa huyu alipokuja amewabadilisha mbaya na mpaka jana usiku ilidhihirika pale vijana walipokesha huko Isakamaliwa wakiimba nyimbo za CCM. Ikiwa CDM itashindwa, basi mtu aliyewaangamiza atakuwa Nchemba maana jamaa ana mvuto kwa vijana na anajua kuutumia mdomo wake. Ngoja tuangalie leo kitatokea nini, ila hali ndivyo ilivyo hapa kwenye dakika hizi za lala salama.
Ndugu yangu unayesema huyo jamaa kilaza hujui Mwigulu is one of the bright persons academically and interms of talking sensible, darasani alikuwa kipanga hata bila kusoma na was at special school, aliwaduwaza watu ALevel kwa kufanya mock ya form 6 na kuwa wa kwanza huku yeye akiwa form 5, alikuwa wa kwanza mwaka wa kwanza had MA Economics. I know the boy. Akihutubia ni mtu makini na anaouwezo wa kuhutubia kwa mtiririko kwa zaidi ya masaa mawili bila kusoma popote na kuwa na kigugumizi. Huyo jammaa atakuwa mtu hatari sana ktk siasa za nchi. Mfuatilieni hata bungeni akiongea japo magamba hushangilia ovyo lakini wanamtegemea sana ccm kuwapiga cdm na kweli hata wakati wa bajeti ndio aliyeipiga bajeti ya zito akisema ni giza sio kivuli