weka piacha yake tumuone..R.I.P chairman
CCM kama wanataka kuchinjana waseme! Walianza kuua kule Igunga baadae wakawacharaza mapanga wabunge wetu kule Mwanza na leo tena wameua kiongozi wetu! Sierra Leone walianza hivi hivi. Kama wanataka watufikishe huko, sisi tutawafikisha zaidi ya hapo maana umafya kwetu ni zaidi ya siasa. Tunawapa muda waendelee na ujinga wao, siku tukianza kulipiza kisasi nchi haitatawalika.
Wana JF,
Taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu wangu wa karibu kutoka usa river ni kwamba Mwenyekiti wa CDM wa mji mdogo wa usa river ndugu Mbwambo ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku huu.
Jamani nchi hii tunaipeleka wapi?
Wana JF,
Taarifa nilizozipata kutoka kwa mtu wangu wa karibu kutoka usa river ni kwamba Mwenyekiti wa CDM wa mji mdogo wa usa river ndugu Mbwambo ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa na watu wasiojulikana usiku huu.
Jamani nchi hii tunaipeleka wapi?
Bahati mbaya sina picha yake.Ila kuna umuhimu wa chama kuangalia swala la ulinzi wa viongozi wake hasa sehemu ambazo siasa zake ni tete.
Sehemu kama Mwanza na Arusha inabidi viongozi wa CDM walindwe.
Mbona sikuelewi mkuu! Yaani kwako wewe kifo cha mtu mmoja si kitu kwako? Kwamba unawapa muda waendelee kuua tu? Nooooooooo!!!! we should take action right now! An injury to one is an injury to all!!!Usimpe muuaji nafasi ya kuendelea kuua! kifo cha mtu mmoja hakina tofauti na vifo 100 wote ni uhai, huwezi kusema uhai wa watu 100 ni bora kuliko wa mtu mmoja tuchukue hatua kabla ya wengine zaidi kufa!!
CCM kama wanataka kuchinjana waseme! Walianza kuua kule Igunga baadae wakawacharaza mapanga wabunge wetu kule Mwanza na leo tena wameua kiongozi wetu! Sierra Leone walianza hivi hivi. Kama wanataka watufikishe huko, sisi tutawafikisha zaidi ya hapo maana umafya kwetu ni zaidi ya siasa. Tunawapa muda waendelee na ujinga wao, siku tukianza kulipiza kisasi nchi haitatawalika.
Acha upunguani. Una evidence gani kuwa CCM inahusika. Subiri kwanza uchunguzi ufanyike. Acha kubwatuka!!
CCM kama wanataka kuchinjana waseme! Walianza kuua kule Igunga baadae wakawacharaza mapanga wabunge wetu kule Mwanza na leo tena wameua kiongozi wetu! Sierra Leone walianza hivi hivi. Kama wanataka watufikishe huko, sisi tutawafikisha zaidi ya hapo maana umafya kwetu ni zaidi ya siasa. Tunawapa muda waendelee na ujinga wao, siku tukianza kulipiza kisasi nchi haitatawalika.