Hawa watakuwa ni Plain cloth Police au Usalama wa Taifa wanataka wananchi na wanachama wa chadema wachukie chama nadhani Nassari aitishe mkutano wa hadhara kila kata aongee na wananchi watafute ufumbuzi kwa pamoja kwa sababu wanataka wananchi waanzishe vita halafu wasema chadema ni chama cha mauaji <br>Hulee usalama wa taifa mumeshindwa kuzuia majambazi na wezi wa rasilimali za nchi twiga wanasafirishwa mbele ya macho yenu tembo wanalishwa sumu wawekezaji wanaua wananchi kwa sumu nyie munaangalia tu halafu sasa munataka kupokonya amani ya wana arumeru hamfai kabisa