Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutua Houston Tx USA

Mkwawa

JF-Expert Member
Jun 8, 2011
1,334
1,464
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatarajiwa kukutana na Watanzania waishio Houston TX tarehe 25 august 2012 Jijini Houston.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatarajiwa kukutana na Watanzania waishio Houston TX tarehe 25 august 2012 Jijini Houston.

Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatarajiwa kukutana na Watanzania waishio Houston TX tarehe 25 august 2012 Jijini Houston.

Hapo Houston kuna nini, mbona viongozi wa CDM wanapapenda sana? au ndo chimbuko la M4C? inawezekana kuna ukweli ndani ya kauli ya NAPE.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Wewe unaelewa sifa mojawapo ya FREEMASONS member?
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Itafika mahali tumuombe Mungu watu wasife siku ya sensa. Kinachotakiwa ni kuacha kumbukumbu sahihi tu.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.


sensa au ulaji wa magamba?
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anatarajiwa kukutana na Watanzania waishio Houston TX tarehe 25 august 2012 Jijini Houston.
Nadhani anakwenda kumtafuta mtu aliyemvalisha LEMA t-shirt ya CCM. Akicheza naye ataivaa.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.
Mkuu sisi tumeambiwa na shekhe Ponda tusishiriki sensa na Mbowe nae kakubaliana na Ponda
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

kwani tz wote watahesabiwa..?
 
Itafika mahali tumuombe Mungu watu wasife siku ya sensa. Kinachotakiwa ni kuacha kumbukumbu sahihi tu.

Mkuu mimi nimetoa ushauri tu, sina la zaidi. Nilichosema ni kwamba KWA UELEWA WA WATU WETU hilo laweza kutumika kisiasa. Kuna sababu gani ya ku-commit mistakes halafu baadaye utumie muda mwingi kukanusha au kuelimisha wananchi?

Vitu vidogo vidogo kama kauli za kawaida (Ref. Nasari and Mzee Mtei), n.k. yamekuwa yakiwagharimu sana CHADEMA. Ni lazima watambue kama kuna "the most wanted either dead or alive" hapa nchini kwa muda huu basi ni CHADEMA.

Kauli, matendo, na lolote lifanywalo iwe na viongozi au wanachama yanafuatiliwa kwa kila namna ili kutafuta KASORO kwa ajili ya propaganda; na bahati mbaya kwa watanzania tulio wengi kwa hulka ya ushabiki tulio nao, kufuata mkumbo, na uduni wa elimu na uelewa wetu propaganda hizi hukamata wengi.
 
Hapo Houston kuna nini, mbona viongozi wa CDM wanapapenda sana? au ndo chimbuko la M4C? inawezekana kuna ukweli ndani ya kauli ya NAPE.

Tupe kumbukumbu wamekwenda mara ngapi na ni akina nani??? Tupe hayo matukio kwani nahisi wengi hawayajui.
Hii M4C moto wake umewaka. Nape msamehe bure lazima afanye kazi ya kueneza uongo na habari za kutunga, dunia ya leo anashindwa nini kusema ukweli, Watanzania wamejaa kila kona ya dunia. Namshauri Nape atambue Watanzania tunashida kubwa ya ukweli kwani waongo na wazushi ndio wanatutesa leo kwa hali mbovu ya uchumi, habari za kuzusha ndivyo walivyoweza kutuibia kwani utu umewaisha, ni waongo na wanaweza kutunga habari yeyote kwa faida ya matumbo yao. Ni vyema vijana tujifunze kuwa wakweli.

Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Sensa huwa wanahesabu kwa kaya na kama sikusei dodoso linajazwa na mtu mmoja kwenye kila kaya baba au mama. Sensa ya makazi sidhani kwamba wanavizia watu barabarani. Wahesabu watu huenda kwenye kila nyumba na kutaka kujua hiyo nyumba ina watu wangapi wanaoishi humo.

Wataalamu wa sensa wanajua kuna watu huwa wapo safirini, masomoni nje ya nchi, matibabu nje ya nchi na kadhalika. Swala kubwa nikuhakikisha huhesabiwi mara mbili ndani ya Tanzania, ila kila kaya itahesabiwa mtu. NB nenda kwenye web ya sensa na angalia madodoso utaona jinsi ya kujaza na jinsi sensa itakavyoendeshwa.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Mistake iko wapi sasa? wewe unataka nchi itlulie tuli hiyo siku hata wanaotaka kusafiri (kwa mfono kwenda kwenye matibabu) wasisafiri? hayo ni mawazo finyu.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

acha uoga. Mwache jamaa aende. Kuna mke wake nyumbani, atatoa data.
 
Inaonekana hatuelewani au inaoenekana napinga safari ya Mbowe. Hamjaelewa repercussion ya hiyo safari ya Mbowe kisiasa. Chama kijiandae kutumia muda mrefu kwa ajili ya utetezi na kupambana na propaganda chafu badala ya kujikita kwenye mambo mengine.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Liwalo na liwe, swala la ukombozi wa nchi hii ni mhimu sana kuliko hiyo Censer Mkuu dudus.
 
Mtu anaruhusiwa kusafiri siku hiyo kikubwa akumbuke kuacha taarifa zake muhimu

Mkuu nakubaliana sana na wewe. Tatizo ni tafsiri ya neno "mtu". Mbowe ni "special" mtu na kila afanyalo lina athari kubwa kwa chama either positively or negatively na adui daima hupenda kutumia mianya ya kipuuzi kama hii; sote tunajua siasa za nchi yetu.

Sensa ni jambo kubwa hutokea mara moja kila baada ya miaka kumi zaidi hata ya uchaguzi mkuu. "Ingekuwa Uchaguzi Mkuu angeenda Marekani?"; adui atahoji na wengi watamwamini! Ingekuwa ni mimi au "mtu" mwingine wa kawaida kasafiri wala tusingejali au kuhoji lakini sio Mwenyekiti. Huyu ana nafasi ya pekee na adhimu - kila mtu anamtazama na kufuatilia nyendo zake akiwepo adui!
 
Inaonekana hatuelewani au inaoenekana napinga safari ya Mbowe. Hamjaelewa repercussion ya hiyo safari ya Mbowe kisiasa. Chama kijiandae kutumia muda mrefu kwa ajili ya utetezi na kupambana na propaganda chafu badala ya kujikita kwenye mambo mengine.

mawazo kama yako ndio wayatumiayo ccm. Kwani taratibu za sensa zinasemaje?? Acha kutishwa ni mengi yatasemwa na kunenwa na kutendwa ila ukweli utabakia palepale.kwani ni lazima kila raia wa tanzania aandike kwa mkono wake juu ya kuhesabiwa??? Kama ni NO basi mbowe hana kosa lolote?? Wewe unako elekea utaogopa kivuli chako mwenyewe ???
 
Back
Top Bottom