Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutua Houston Tx USA

Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.


Kwani ni how many days it takes from there to bongo?
 
Mkuu nakubaliana sana na wewe. Tatizo ni tafsiri ya neno "mtu". Mbowe ni "special" mtu na kila afanyalo lina athari kubwa kwa chama either positively or negatively na adui daima hupenda kutumia mianya ya kipuuzi kama hii; sote tunajua siasa za nchi yetu.

Sensa ni jambo kubwa hutokea mara moja kila baada ya miaka kumi zaidi hata ya uchaguzi mkuu. "Ingekuwa Uchaguzi Mkuu angeenda Marekani?"; adui atahoji na wengi watamwamini! Ingekuwa ni mimi au "mtu" mwingine wa kawaida kasafiri wala tusingejali au kuhoji lakini sio Mwenyekiti. Huyu ana nafasi ya pekee na adhimu - kila mtu anamtazama na kufuatilia nyendo zake akiwepo adui!

Mkuu dudus, hawa ccm wanaubavu wa kuhoji safari za Mbowe tu? Mbona Rais wetu mzurulaji alienda Malawi kuhudhuria kuapishwa kwa mamantilie alieyefanikiwa kuwa Raisi, akiwaacha watanzania wanakufa kwa kukosa matibabu kwa mgomo wa Ma-doctor wakidai maboresho ya huduma za Afya nchini?
 
Na watakao lala kwenye nyumba ndogo, Bar, Guest (kama alivyofanya Mh. Malima kule Moro) na hata Gerezani siku hiyo ya kuamkia sensa watahesabiwa wapi wakati wana nyumba zao?
 
inamaan we hujui kwamba na watanzania waliopo nje ya nchi watahesabiwa au wao sio watanzania ...kazi ya balozi unafikiri ni nini?
 
kila la kheri kamanda,sauti ya zege,sauti nzito.sura isiyotabasamu na ya kucheka cheka kama ya baba flani.nenda baba kachukue mihela sensa haina dili,tushaambiwa na shekhe ponda tuisusie sensa.
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

Siku ya sensa si lazima kila mtu akawa nyumbani, and frankily speaking it is impossible kwa kila mtu nchi nzima awepo nyumbani. Vipi waliopo hospitalini? Au hata viongozi/maafisa wote serikalini watakuwa nchini? Kinachotakiwa aliyepo nyumbani siku hiyo anatoa details za watu wanaoishi kwenye hiyo kaya.

Concept ya kusisitiza watu wawepo kwenye makazi yao inakuwa applicable zaidi maeneo ya vijijini including jamii za wafugaji ambao watu wote wanaweza kuondoka majumbani and there is no way of knowing anything about the occupants. Mijini ni tofauti.
 
Inaonekana hatuelewani au inaoenekana napinga safari ya Mbowe. Hamjaelewa repercussion ya hiyo safari ya Mbowe kisiasa. Chama kijiandae kutumia muda mrefu kwa ajili ya utetezi na kupambana na propaganda chafu badala ya kujikita kwenye mambo mengine.

Haujui kuwa hata JK naye ataenda marekani kwenye uzinduzi wa tawi la CCM tarehe hyohyo 25? Nadhan pia ndo cku pia ya mkutano wa Jumuiya wa Watz wanaoish USA
 
Atahesabiwa ubarozini.Ninani kasema siku ya sensa watu wasisafiri?
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.
 
Mkuu dudus, hawa ccm wanaubavu wa kuhoji safari za Mbowe tu? Mbona Rais wetu mzurulaji alienda Malawi kuhudhuria kuapishwa kwa mamantilie alieyefanikiwa kuwa Raisi, akiwaacha watanzania wanakufa kwa kukosa matibabu kwa mgomo wa Ma-doctor wakidai maboresho ya huduma za Afya nchini?

Mkuu wangu, mti wenye matunda yaliyo bora ndio hutupiwa mawe. Ulitegemea CCM kwa kipindi hiki wahoji na kueneza propaganda chafu dhidi ya nani zaidi ya CHADEMA na viongozi wake? Dawa ya kuuponya mti huo ni kuuzungushia ukuta na ukuta kwa muktadha huu ni kwa viongozi na wanachama kujiepusha na lolote lile linaloweza kumpatia adui la kusema.
 
Na watakao lala kwenye nyumba ndogo, Bar, Guest (kama alivyofanya Mh. Malima kule Moro) na hata Gerezani siku hiyo ya kuamkia sensa watahesabiwa wapi wakati wana nyumba zao?

Mkuu wangu KISIASA hao wooooooooooooote uliowataja "hawana faida yoyote" kama Mbowe au Slaa mmoja. "Kosa" dogo la Slaa au Mbowe ni muhimu sana kisiasa kwa magamba kuliko maelfu wanaokufa kwa kukosa matibabu.
Sijui kama nimeeleweka.
 
Mkuu nakubaliana sana na wewe. Tatizo ni tafsiri ya neno "mtu". Mbowe ni "special" mtu na kila afanyalo lina athari kubwa kwa chama either positively or negatively na adui daima hupenda kutumia mianya ya kipuuzi kama hii; sote tunajua siasa za nchi yetu.

Sensa ni jambo kubwa hutokea mara moja kila baada ya miaka kumi zaidi hata ya uchaguzi mkuu. "Ingekuwa Uchaguzi Mkuu angeenda Marekani?"; adui atahoji na wengi watamwamini! Ingekuwa ni mimi au "mtu" mwingine wa kawaida kasafiri wala tusingejali au kuhoji lakini sio Mwenyekiti. Huyu ana nafasi ya pekee na adhimu - kila mtu anamtazama na kufuatilia nyendo zake akiwepo adui!

That is why baadhi ya watu wamesema kwamba halina madhara. Ninachoweza kusema tu ni kwamba kwa sasa watu wanaoweza kudanganywa kuhusu kutosafiri wakati wa sensa ni wachache sana. Nakubaliana na wewe kwamba baadhi ya watu watalitumia kisiasa, jambao ambalo huwezi kulizuia. Mbona Fundraising imesemwa sana tene NEGATIVELY ? inafika wakati ni lazima mambo yaende tu objectively, kama watu watajaribu kutafsiri tofauti, huwezi kuzuia, let them try to mislead the people, but I beleave that only a few illiterates watasikiliza na baada ya kutambua ukweli watarudi kwenye line. Ndugu yangu HAKUNA ZURI katika mapambano, na ukiogopa kutafsiriwa vibaya hutaenda msitari wa mbele. Kila ukijaribu utarudi nyuma kwa kuhofia "watakavyotafsiri"
 
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.

CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.

So be it! CDM has no obligation to react to each and every Magamba action or whim! you can only cross the bridge when you come to it, not before sonny!
 
Ajiandae kuvaa formsix la ccm kama alivofanya mdoake lema kule london....

Thinking critically: Do you believe Lema was forced to put on that yellow Tshirt ? tena juu ya magwanda yake ? na kukubali kupiga nayo picha ? I think Lema did it intentionally, na ukimwangalia kwenye picha, it was like alikuwa anasanifu, akitaka ile nembo ya Chama Chetu Mama ionekane. Mimi simo, nimeiona tu hii wakati napita !
 
Misijaona tatizo akisafiri kwanza sensa huwa sio correct 100%
(ni makadirio)yanayo elekeaana na ndio maana utakuta wanasema mfano Tanzania ina watu 45mil ina maana hamna maelfu,malaki
au we unafikiri ina maanisha 45,000,000 kamili? No
Kama mtu akisafiri kwenda ngambo kupata data ni rahis na ni uhakika,sensa ilatakiwa wapige simu watu waliotoka katika boda zote then wanajumlisha
hii ni kazi ya lisaa limoja tu,unajua MAGAZIJUTO?
 
Wanatudanganya kuwa wanafanya sensa ili kujua idadi ya watu na namna gani wapange mipango yao ya maendeleo wakati raslimali zetu zote wamechukua. Mimi niko nchini lakini nimesusia hiyo sensa kwani sioni umuhimu wake.
 
Inaonekana hatuelewani au inaoenekana napinga safari ya Mbowe. Hamjaelewa repercussion ya hiyo safari ya Mbowe kisiasa. Chama kijiandae kutumia muda mrefu kwa ajili ya utetezi na kupambana na propaganda chafu badala ya kujikita kwenye mambo mengine.

Ngaja.... Mkuu dudus tatizo naona awajakupata point yako ya msingi nashauli walejee tena then watafakali kabla ya kupost tambua siasa ni mchezo mchafu sana watatafuta kila njia kukumaliza cha msingi kusoma nyakati za majira M4C ni chama kinachopendwa kwa sasa then kinajijenga kipindi cha upinzani wa vyama vingi mistake ndogo ndio chakula kwa wengine then washibe wapate mwanya wa kukumaliza zaidi mkumbuke magamba ulijijenga kipindi upinzani wa vyama vingi haupo hapa tanzania TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Back
Top Bottom