Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Another mistake! Hiyo tarehe ni siku ya sensa, ina maana yeye hatahesabiwa? Kwa mtu mzito kama yeye alitakiwa kuwa mfano tena awe wa kwanza kuhesabiwa katika eneo analoishi/atakaloamkia.
CHADEMA wanatakiwa kujiepusha na kila hila inayoweza kutumiwa na magamba. Magamba ni lazima wataitumia hii kama turufu ya kisiasa na kwa uelewa wa watu wetu lazima wata-win baadhi. Be careful you guys.
Kwani ni how many days it takes from there to bongo?