Mwenyekiti NEC ni Shemeji wa Lowassa - Janga kubwa sana

Huu uzushi na najungu mnatoa wapi hapa jamani toka lini jk akatengeneza mazingira ya kkumsaidia Edward hadi kumpa shemejie......ka uongo mwingine kama wa std two yani
 
chitambikwa, tuseme ni kweli Jaji Damian Lubuva ni kaka yake mke wa Lowassa, sasa ndio unamaani hiyo ndiyo sifa iliyomfanya achaguliwe kuwa mwenyekiti wa NEC?.

Jee kama uteuzi wa jaji Lubuva umezingatia sifa na vigezo, sasa ndio asiteuliwe eti kwa vile dada yake kaolewa na Lowassa?,
Ndugu yangu chitambikwa, nenda tuu kajipumsikie baada ya kutoka kwenye hayo matambikwa!.

Fair comment, jf penye ukweli tuwe pamoja bila kujali tofauti zetu
 
Pasco,tukubaliane kama ni kweli huyu ni Shemeji wa Lowasa lipo tatizo tena zito sana! Hali ya nchi kwasasa tulipofikia si ya kuaminia kabisa,hata mkuu wa nchi alishawahi kukiri hilo na ndio maana hata yeye alitumia familia yake kusimamia kampeni! Anajua hatuaminiani tena kuliko wakati wowote ktk nchi hii na mbaya zaidi anajua nchi inavyowaka moto kwa sababu ya jina la lowasa! Alafu unamteua shemeji yake NEC! Tuna spin nini hapa? Ni bora tupinge si kweli lakini ukishasema hata kama ni kweli eti kwa kuwa anayosifa tutakuelewa kweli? Mnapokuwa na upande jamani jitahidini kucheza kisanyansi japo kidogo bora hata kukaa kimya kulinda Status yako! Tuna akili timamu! shemeji ya Lowasa! Alafu mnachukulia mzaha! Tuache kusimamia tu hoja hata penye ukweli! Kama habari hii ni kweli THIS IS TOTALLY COMPLETELY WRONG!!!!!!

asante mtazamo,
ndio maanahapo juu nimesema kupenda upofu.
 
Chitambikwa na Wana JF,
Wahenga walisema Lisemwalo Lipo na Kama halipo Laja na Penye Ukweli, Uongo ujitenga
Kama ni uongo au ukweli mwisho wa siku utajulika, 2014 mwaka mmoja kabla ya uchaguzi (2015) tutaileta hii hoja, mada humu tena
Sipo upande wowote, kikubwa tuweke Utaifa, Maslahi ya Nchi
Nawakilisha





Nikiwa natoka sherehe za Noel Bethlehemu nimekutana na jaji mmoja maarufu nchini katika ndenge tuliyosafiri pamoja kurudi nyumbani , katika mazungumzo yake ameniambia amekerwa sana na uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa NEC bwana LUBUVA kuwa ni mkakati wa Kikwete kumuandalia fisadi mwenzake katika chama chochote atakachokwenda kushinda uraisi. Mambo ambayo ameyafanya ni kumchagua Lubuva AMBAYE NI KAKA WA MKE WA LOWASA kufanikisha hilo.

Lingine aliloniambia ni kuwa kulikuwa na mkakati wa kumchoma sindano ya Mionzi Dr.Slaa wakati alipoenda kutibiwa mkono muhimbili, na kuwanyamazisha wote wanaompinga.

Zaidi akaniambia kuwa mahakama hapa TZ inaogozwa na CCM na si serikali na wala haiwezi kuwa huru kwenye kesi yenye maslahi na CCM

Binafsi nimesikitika sana ,WADAU kama kuna mtu ana habari zaidi juu ya hii mada atujuze ili tuitazame nchi yetu itakuwaje huko mbeleni
 
Lubuva sio kaka wa mke wa lowasa.tatizo lipo wapi au kwa sababu tu ni mrangi.kama mtu ana sifa hizo kwanini asipewe.na kwanini inamgusa tu lubuva.mbona hata waliomtangulia nao walikuwa wastaafu.suala hapa ni mzee au mrangi.wekeni mambo wazi.
 
chitambikwa, tuseme ni kweli Jaji Damian Lubuva ni kaka yake mke wa Lowassa, sasa ndio unamaani hiyo ndiyo sifa iliyomfanya achaguliwe kuwa mwenyekiti wa NEC?.

Jee kama uteuzi wa jaji Lubuva umezingatia sifa na vigezo, sasa ndio asiteuliwe eti kwa vile dada yake kaolewa na Lowassa?,
Ndugu yangu chitambikwa, nenda tuu kajipumsikie baada ya kutoka kwenye hayo matambikwa!.

vigezo gani?hivi ni lazima uwe jaji ndo uwe boss wa nec?huo ni mchezo mchafu waendelee tu,hata Mobutu,Abacha walifika mwisho wao
 
Tusisema sana labda huyo jaji aliitaka hiyo nafasi.alipoona imeondoka ndio akaamua kumalizia hasira zake kwa kuponda uteuzi wa rais kwa lubuva.hata hivyo mwenzetu tumpe moyo na sio kumponda.kwani ana kazi kubwa mbele yake
 
Ikiwa Lowassa atakuwa mgombea, hususan urais, itabidi Mwenyekiti ajitoe kwenye kazi hiyo kwa sababu atakuwa na personal/ family interests zitakazo cloud neutrality yake.
 
Hivi watu wanapotuambia kuwa "sifa anazo" wamewahi kujiuliza ni kiongozi gani ambaye alipoteuliwa hakuwa na sifa za kushika nafasi hiyo? Hata Omar Mahita alipofanywa IGP alikuwa na sifa, so was Daud Balalli, and many many more. Sijawahi kusikia Rais akiteua mtu asiye na sifa!
 

Zaidi akaniambia kuwa mahakama hapa TZ inaogozwa na CCM na si serikali na wala haiwezi kuwa huru kwenye kesi yenye maslahi na CCM


Kwa hiyo zaidi ya kukuambia hata huyo jaji mwenyewe hatuwezi kumuweka wenye kundi la kina lUgakingira Au hyo jaji hatoi hukumu.

Na hawa majaji Posho zao zikoje In realtion na wenzao wa bunge na serikali
 
succession kwenye nafasi nyingi muhimu ikiwemo za uongozi ni tatizo la Kitaifa..............wastaafu wataendelea kuteuliwa tu kwa mikataba............ni muhimu kwenye nafasi mbali mbali wahusika wakapewa jukumu la ku-groom watakaokuwa possible candidates wa nafasi husika...........
 
chitambikwa, tuseme ni kweli Jaji Damian Lubuva ni kaka yake mke wa Lowassa, sasa ndio unamaani hiyo ndiyo sifa iliyomfanya achaguliwe kuwa mwenyekiti wa NEC?.

Jee kama uteuzi wa jaji Lubuva umezingatia sifa na vigezo, sasa ndio asiteuliwe eti kwa vile dada yake kaolewa na Lowassa?,
Ndugu yangu chitambikwa, nenda tuu kajipumsikie baada ya kutoka kwenye hayo matambikwa!.
Hata kama ana sifa je ni yeye peke yake mwenye sifa? kama wapo wengi kwa nini asichaguliwe mwingine ambaye hana masilahi na yeyote yule? Kweli Pasco hauoni hilo ni tatizo?
 
Mr. Zero, asante kuniaminia, nitawaomba tuungane kwa ninacho kiamini kwa urais wa 2015.
Nilimuuliza mtoa mada, jee kama jaji Lubuva anazo sifa zote na vigezo, jee anyimwe uteuzi kwa sababu tuu mke wa Lowassa katoka alikotoka Jaji Lubuva?.

Swali la kwanini jaji? ni kwa kwa mujibu wa ibara ya 74 ya katiba ya JMT
74.-(1) Kutakuwa na Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya
Muungano ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao watakaoteuliwa
na Rais:-
(a) Jaji wa Mahakama Kuu au Jaji wa Mahakama ya
Rufani, ambaye atakuwa mwenyekiti;

(b) Makamu Mwenyekiti ambaye atakuwa mtu
anayeshika, aliyewahi kushika au anayestahili
kuteuliwa kushika madaraka ya Jaji wa Mahakama
Kuu au Jaji wa Mahakama ya Rufani
;

Jamani sasa Mwenyekiti anaweza kuwa Jaji aliyestaafu? Mbona napata shida sasa.
 
Jamani msianze kulaumu Majaji. Habari zenyewe hazina uthibitisho kama kweli hayo yalitamkwa na jaji au yeye mwenyewe amebuni kama vile maneno yametoka kwa jaji ili yaonekane na uzito. wakati mwingine juthibitisha habari kama hizi inakuwa vigumu hasa kwa vile kila mmoja ana leng.o na iinterest zake tofauti
HUYO JAJI MPUMBAVU KWELI... ANAJUA KABISA YUPO KWENYE LEGAL SYSTEM ILIYO CHINI YA WATU KAMA PINDI CHANA NA YEYE ANABAKI, NA KUPANDA MAVXV8 NA KUJA KULALAMA KWAKO

KWELI KAMA NDIO WASOMI WETU KAMA HUYO JAJI TUNA SAFARI NDEFU

INANIPA SHIDA IN A FEW HOURS FLIGH JAJI ANAZUNGUMZIA SINDANO YA MIONZI, LUBUVA NI SHEMEJI WA LOWASSA, LEGA SYSTEM IPO CHINI YA CCM HALAFU ANASHUKA KWENYE NDEGE NA MTUMBO-TUMBO WAKE (MAANA WENGI WANA VITAMBI KAMA WANAKULA JONGOO)... ANAINGIA KWENYE GARI TENA IMEPEWA SPECIAL PLATE NUMBER NA ANAKAA KITI CHA MBELE NA KUJISIKIA SPECIAL

HE/SHE IS SUCH AN IDIOT wahed
 
Jamani sasa Mwenyekiti anaweza kuwa Jaji aliyestaafu? Mbona napata shida sasa.
Kimbunga,
Jaji aliyestaafu ni Jaji. Vyeo vya mahakama viko kama vya Jeshi. MaJenerali wastaafu wanapigiwa saluti. Wakifa wanazikwa kwa heshima zote za kijeshi. Tatizo liko kwenye KATIBA yetu kumlazimisha Rais ateue MAJAJI tu kwenye nafasi hizo mbili. Kwa udhaifu wa Marais wetu wanaangalia ni yupi "mtiifu" endapo kura za ziada zitahitajika au akiambiwa kutangaza hata asichokiamini atatangaza.
Katiba mpya ya Kenya iliharakishwa zaidi na vituko vya Tume ya Uchaguzi iliyokuwepo mwaka 2007.
 
Pasco,tukubaliane kama ni kweli huyu ni Shemeji wa Lowasa lipo tatizo tena zito sana! Hali ya nchi kwasasa tulipofikia si ya kuaminia kabisa,hata mkuu wa nchi alishawahi kukiri hilo na ndio maana hata yeye alitumia familia yake kusimamia kampeni! Anajua hatuaminiani tena kuliko wakati wowote ktk nchi hii na mbaya zaidi anajua nchi inavyowaka moto kwa sababu ya jina la lowasa! Alafu unamteua shemeji yake NEC! Tuna spin nini hapa? Ni bora tupinge si kweli lakini ukishasema hata kama ni kweli eti kwa kuwa anayosifa tutakuelewa kweli? Mnapokuwa na upande jamani jitahidini kucheza kisanyansi japo kidogo bora hata kukaa kimya kulinda Status yako! Tuna akili timamu! shemeji ya Lowasa! Alafu mnachukulia mzaha! Tuache kusimamia tu hoja hata penye ukweli! Kama habari hii ni kweli THIS IS TOTALLY COMPLETELY WRONG!!!!!!

kwa wanaomjua jaji Lubuva

alianza kuwa senior kabla hata ya lowassa kuwa senior, alikua waziri mapema sana, alishakua na nyadhifa kubwa sana kiasi kwamba inaniwia vigumu kuamini kwamba llowassa ana influence

and Lubuva is a man of integrity always
 
sasa wewe jamaa unashangaza mtu wangu,ungetaka jaji afanyeje? atengue uteuzi wa rais?

apige kimya ... maana nimmoja wao

ukiniuliza mimi ntakwambia wanaotukwamisha kwenye maendeleo towars democracy ni wanasheria wetu... wameshindwa kusimama na kuhesabiwa wakati wao ni mhimili imara na fair zaidi kuliko bunge
 
Back
Top Bottom