MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Ngoja na mimi nikae hapa nisikilize umbeya maana huu umbeya unavutia kuusikiliza
alimfisadi mama yako ?funguka dada yanguJaji Lubuva na Mke wa Fisadi wanatoka Kijiji kimoja hayo mengine si kweli. Fisadi alipoona Lubuva kateuliwa kuwa Mwenyekiti wa NEC ndio akaongeza mahusiano ya kifamilia akidhani yatamrubuni akubali kuweka rehani uzalendo wake kwa kununuliwa. Lakini kwa bahati nzuri Jaji Lubuva alitambua Jukumu lake kwa Taifa lake.
mbona we umeolewa na wanaume wawili hatusemiNiliwahi sikia taarifa nilizoshindwa kudhibitisha kuwa jaji Lubuva na Lowasa Ngoyai, wameoa nyumba moja yaani mama Regina na mke wa lubuva ni watoto wa mtu mmoja, ni kweli????
Mkuu utasababisha Uzi ufutwe buree, umeanza vizuuuri ukamalizia poorly !!!!!!!!Jaji Lubuva na Mke wa Fisadi wanatoka Kijiji kimoja hayo mengine si kweli. Fisadi alipoona Lubuva kateuliwa kuwa Mwenyekiti wa NEC ndio akaongeza mahusiano ya kifamilia akidhani yatamrubuni akubali kuweka rehani uzalendo wake kwa kununuliwa. Lakini kwa bahati nzuri Jaji Lubuva alitambua Jukumu lake kwa Taifa lake.
Basi haaya!!!mbona we umeolewa na wanaume wawili hatusemi
alimfisadi mama yako ?funguka dada yangu
swissme
alimfisadi mama yako ?funguka dada yangu
swissme
Hayo matoleo yalizungumzia mahusiano kati ya Lowasa na lubuva? Maana ndo lengo la Uzi , kama vile majibu yako yamekosea njia!!!!Swali hilo Muulize Mbowe na Kubenea ndio walikuwa wanahubiri nami nikaamini. Rejea Mwahahalisi toleo no. 236 la Mwaka 211 ' Lowassa hasafishiki' na List of shame ya Chadema iliyosomwa Viwanja vya Mwembe Yanga unless otherwise uniambie Chadema huwa Waongo na Wazushi sio watu wa kuaminika
Hayo matoleo yalizungumzia mahusiano kati ya Lowasa na lubuva? Maana ndo lengo la Uzi , kama vile majibu yako yamekosea njia!!!!
Poa poa mkuuHayo matoleo yalizungumzia mahusiano kati ya Lowasa na lubuva? Maana ndo lengo la Uzi , kama vile majibu yako yamekosea njia!!!!
wewe unaemuita mtu fisadi tena bila ushahidi.rudia tena kutukana.Nashangaa kwa kauli hizi bado upo online hapa jf.
Mods piga ban huyu au mna double standards?