Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,262
- 9,715
Ndugu zangu Watanzania,
Bunge letu tukufu chini ya Dada wa Taifa ,Nguli wa sheria ,mwanamke jasiri na msomi wa sheria kuwahi tokea kutoka nyanda za juu kusini na Rais Wa umoja wa Mabunge Duniani yaani IPU Dr Tulia Acksoni Mwansasu limepitisha mapendekezo ya kwamba mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi kutoteuliwa moja kwa moja na Rais .
Badala yake ni kuwa kutakuwa na utaratibu mpya ambapo sasa viongozi hao watapendekezwa majina yao kwenda kwa Mheshimiwa Rais na kamati ya usaili.
Ambapo katika miswaada ambayo mimi nilisoma awali ilionyesha wafuatao kuwa wajumbe wa kamati ya usaili.
Jaji mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ambaye atakuwa mwenyekiti wa kamati ya usaili.
Jaji mkuu wa Zanzibar ambaye atakuwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya usaili.
Mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na Utawala bora
Na wa mwisho ni mjumbe mmoja ambaye atateuliwa na Rais kwa kuzingatia jinsia.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
Bunge letu tukufu chini ya Dada wa Taifa ,Nguli wa sheria ,mwanamke jasiri na msomi wa sheria kuwahi tokea kutoka nyanda za juu kusini na Rais Wa umoja wa Mabunge Duniani yaani IPU Dr Tulia Acksoni Mwansasu limepitisha mapendekezo ya kwamba mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi kutoteuliwa moja kwa moja na Rais .
Badala yake ni kuwa kutakuwa na utaratibu mpya ambapo sasa viongozi hao watapendekezwa majina yao kwenda kwa Mheshimiwa Rais na kamati ya usaili.
Ambapo katika miswaada ambayo mimi nilisoma awali ilionyesha wafuatao kuwa wajumbe wa kamati ya usaili.
Jaji mkuu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania ambaye atakuwa mwenyekiti wa kamati ya usaili.
Jaji mkuu wa Zanzibar ambaye atakuwa ni makamu mwenyekiti wa kamati ya usaili.
Mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na Utawala bora
Na wa mwisho ni mjumbe mmoja ambaye atateuliwa na Rais kwa kuzingatia jinsia.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.