Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Mwenge ni zilipendwa na wala hauna majibu ya changamoto tulizonazo hivi sasa. Ni vyema ukafutwa na fedha hizo zinazoteketezwa katika kuutembeza zipelekwe kwenye shughuli za maendeleo.
Hawa CCM hawatakaa hata siku moja kuliona jambo hili bali uongozi mpya wa Chadema chini ya Dr. Slaa ndiyo utafumbua hili fumbo la kijinga ambalo mwerevu ni lazima ataling'amua
Hawa CCM hawatakaa hata siku moja kuliona jambo hili bali uongozi mpya wa Chadema chini ya Dr. Slaa ndiyo utafumbua hili fumbo la kijinga ambalo mwerevu ni lazima ataling'amua