Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Takataka walizitafuta walio kuzaa weweHeshimu sheria tu Hutasema hizi Takataka
Takataka walizitafuta walio kuzaa weweHeshimu sheria tu Hutasema hizi Takataka
View attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
====
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa Kwa UMMA
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.
Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;
1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)
Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.
Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .
Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .
====
UPDATES:
=====
Jeshi la polisi mkoani Mwanza limefunga barabara ya Bwiru maarufu kona ya Bwiru jirani na ukumbi uliopangwa kufanyia kongamano la Chadema la kudai Katiba, hakuna kinachoendelea kwa sasa polisi wametanda barabara nzima wakiwa na magari na silaha za moto
Cdm ni wananchi, au unatakaje labda?Wananchi wana mahitaji yao ndio maana wakiguswa wanalalamika lakini madai ya Chadema sio ya wananchi
Wabunge wasiochaguliwa na wananchi au wabunge gani unaowasemea,navyo jua hata wale viongozi mtaani Kyle sijui wametoka wapi,ndio ije kuwa wateule wa wakurugenzi.?Sheria za bunge. Lazima uzitii
Acha kupandikiza mbegu za udini nchini
HAMNA UWEZO HUOWe will fight her to hell
Mama anaupiga mwingi sana,inatakiwa aongeze kidogo tu Ili wanyooke. View attachment 1861745
Si mlikuwa mnasema Jakaya Kikwete ndio anaendesha nchi nyuma ya Samia, haya pambaneni na huyo Jakaya sasaSamia Hawa washauri wake kina mwigulu wanataka kumuharibia, alishaanza kujitengenezea sifa nzuri kimataifa, anaanza mapema kujiharibia aisee, kikwete amshauri huyu mama kuwa masalia wa dikteta wanataka kumuharibia mama, wapinzani inatakiwa kupambana nao kwa hoja Kama kipindi Cha ccm hile ya kina NAPE na Kinana
Hotelini saa 9 usiku kuna kusanyiko?Mkuu wa mkoa kaweka zuio la mikusanyiko. Makamanda wa Chadema wanasema watakusanyika kwa nguvu kufanya kongamano.
Usiku wa manane wanadakwa. Maana mkuu wa mkoa anazo taarifa za kiusalama.
Je, hapa nani amefanya kosa?
Tusilaumu bila ya kuwa na argument za msingi.
Tundu Lisu anahamasisha wasukuma waandamane wakati huo amejifungia chumbani huko BelgiumKwahiyo hakuna kuandamana tena
Tatizo lako ni asili ya uraia wako maana mnyarwanda na kiswahili ni sawa na mbingu na ardhi.
Wachaga wengi wajanja wajanja sana,Aikaeli msanii sana, hapo anawapanga wafadhili.
Acha ufara kwa mtandao,kaandamane huku kumuunga mkono bwana ako😃😃.Unaonekana tangu baada ya kifo cha mumeo bado una msongo wa mawazo.
Wewe ni mjane ambaye unahitaji msaada maana hata huna sifa ya kupata urithi kutoka kwa marehemu.
Hizi amri zenye hila za kijinga hata akina Mandela walipewa sana na makaburu, tukawa tunamsifia Nyerere kwa kumuunga mkono Mandela na weusi wa Afrika kusini kugomea amri zisizo halali. Ni hivi, lile Katazo la mkuu wa mkoa sio halali. Hapo Mwanza mwanamuziki wa DRC Falii Ipupa, atakwenda kutumbuiza na hakuna Katazo lolote la hiyo corona, kwa hiyo mnaona sifa raia wa nchi nyingine kupata uhuru ambao watanzania wenye madai halali hawaruhusiwi kukutana?Mkuu wa mkoa kaweka zuio la mikusanyiko. Makamanda wa Chadema wanasema watakusanyika kwa nguvu kufanya kongamano.
Usiku wa manane wanadakwa. Maana mkuu wa mkoa anazo taarifa za kiusalama.
Je, hapa nani amefanya kosa?
Tusilaumu bila ya kuwa na argument za msingi.
Robot ....akili hamnazoooWe unaonaje?