Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,314
- 103,895
Tii bila shuruti, hizo habari za kina Ipupa zitakuponza
Akina Nyerere enzi za wakoloni wangetii amri za kipuuzi kana hizi, mpaka leo tungekuwa chini ya wakoloni. Mnachoweza ni kutumia nguvu ambazo zinaanika upuuzi wenu wazi duniani. Na kwa taarifa yako nguvu hizi ni za muda mfupi sana, maana hamuwezi kuzuia madai halali kwa mabavu. Uzuri ujumbe wa madai ya hii katiba mpya umefikia wananchi na dunia vizuri, japo ni kwa njia hasi.