Fisadi Mtoto
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 639
- 79
Mwandishi mahili wa gazeti la nipashe mwenye cheo cha News Editor Ndugu Dennis Msaki ameandika barua ya kuacha kazi kwa notice ya masaa 24 kuanzia saa sita mchana wa leo,kuna habari za kuaminika kuwa amekwenda kujiunga na gazeti la mtanzania la kampuni ya habari cooperation hasa baada ya kuonekana zaidi ya mara tano kwenye vikao na Hussein Bashe wa Habari.Hili ni pigo kubwa sana kwa Mzee Mengi .Baada ya barua kufika Jesse Kwayu ameonekana akienda kwenye kikao cha dharura na Managing Director.waandishi wote hapa news room ipp wanaonyesha kutoamini kilichotokea.
Last edited by a moderator: