Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Hata mimi nimeongea naye sasa hivi, hajawahi kuwaza sala hatohamia Mtanzania. Kwa kauli yake mwenyewe amesema, "siwezi mimi kuhamia gazeti la watuhumiwa wa ufisadi, nina hadhi yangu siwezi kuiharibu, watu wasubiri watasikia nini kitafuata."
Amesikitishwa sana na taarifa za yeye kuhamia Mtanzania na anasema kauli yake hiyo ni kamili na hatoweza kula matapishi yake. "Hata baadaye, sitokula matapishi yangu."
Kuhusu suala la siri za IPP, naamini hakuna mwandishi wa habari makini anaweza kuzungumza jambo lolote linalohusu mwajiri wake wa sasa ama wa zamani, huo ni UMALAYA (naomba radhi kutumia neno kali) ambao watu makini hata hao utakaowapa hizo siri watakudharau na hawatakuamini tena maana iko siku utatoa siri zao kama ulivyowapa za mwenzao. Lakini pia, waandishi wa habari si wafanyabiashara na hivyo hawana nafasi ya kujua siri za mwajiri wao na mara nyingi huwa mbali sana na hizo zinazoitwa SIRI.
Mwisho, Denis Msaki ni mtu makini sana na hata alipotajwa kuwa na mahusiano na watu fulani, uhusiano wake haukuathiri hata chembe utendaji kazi zake za kila siku, aliendelea kuwa makini hadi leo nilipozungumza naye. Alitenganisha mahusiano binafsi na yale ya kikazi na marafiki zake walimheshimu kwa hilo. Kama atabadilika, huo ni UBINADAMU na tutajadili.
Wanandugu Nimeongea na Denis Msacky ana kiri kuacha Nipashe lakini AMEKANUSHA kujiunga na Habari Coopeartion!Amenieleza amemua kuacha kazi kwa hiari yake mwenyewe bila kishawishi cha mtu yeyoyote!
sasa haya ndio mambo tunayoyataka JF.....yaani safi kweri kweri....kama ni kweli katamka msacky