Mwandishi Dennis Msaki ajiuzulu "Nipashe"

Status
Not open for further replies.
Ukisikia JF inaelekea either kuwa udaku,au forum inapoteza muelekeo ndo hivi sasa,ETI VIONGOZI WA SEREKALI WATAZIDIWA NGUVU NA Bashe,hivi unafahamu serekali wewe au unaropoka tu?

Halafu huna taarifa na hujafanya uchunguzi huna sababu ya kuonyesha ujinga wako,Viajana wa tbr wamekunsanywa wao mbuzi au mizigo au mazuzu acha kutukana dignity na akili za watu,halafu unachekesha kabisa eti UVCCM TBR ILIKANUSHA hivi unafahamu muundo wa UVCCM ktk ngazi ya mkoa?or unaongea tu,walokuja hapa maelezo waliandikwa na vyombo vya habari hao walowakanusha ni kinani?nalitolea wapi matamko yao,Eti bashe ni troubleshouter wa RA,hili ni Tatizo la kwetu watanzania kutafuta majibu rahisi na kuropoka.

NOW Commenting on DENIS MSAKI,SIKWELI KUWA MSAKI ANAENDA NEW HABARI 2006 LTD,msaki anenda ktk taasisi ingine aambayo sson wanaJF mtaifahamu hamkuwa na sababu ya kujadili jambo tulisilokuwa na uhakika nalo


Shikamoooooooooo. Pole sana. I have given enough thanks in this posts to dedicated comrades fighting against UFISADI hasa RA. Kwani ni nani hafahamu kuwa RA ameshaanza campaign za urais na wabunge?? Ni nani ambaye hafahamu kwa RA anaandaa watu wake wa kuchukua nafasi za ubunge maeneo fulani fulani ambayo yana wabunge wapinzani na wale wa SSM ambao wanapinga ufisadi?? Ni nani ambaye hafamu kuwa ni mpango wa RA kuhakikisha kuwa vyombo vya habari vya Mengi vinakufa au anavifanya nusu kaputi??? Ni nani ambaye hafahamu kuwa ili kufanikisha malengo yake ni lazima RA kununua key people katika biashara na kazi za wapinga ufisadi ili wapate pigo??? Ni nani ambaye hafamu kuwa RA kununua Habari corporation and now new habari (2006) ilikuwa na lengo mahususi kwa yule owner wa zamani na kwa future politics of this country??? Ni nani ambaye hafahamu kuwa New Habari outputs zake ni below standards na hazina reputation na sokoni zinarukiwa inzi??? Hata ile kufanya magazeti yawe attractive hata kwa macho bila cha maana kilichaoandikwa ndani wameshindwa?? Nakwambia hapo yanasubiri 2010 ikaribie ndipo yataaamka, yanasubiri kazi, kazi haijaanza!!!!????

Kuondoka kwa Denis Nipashe si issue, kwani huyo Denisi amekaa na ajira Nipashe kwa miaka mingapi?? He is not that much instrumental to the company!!!!??? Wapo watu pale IPP media wakiondoka itakuwa ni pigo, Si Denis Msacky ninayemfahamu, no way.

Mengi amekuwepo na vyombo vyake vya habari na makampuni yake na ataendelea kuwepo hata kama mafisadi mnamsumbua but for sure our hero will survive, vita ni lazima vipo tu hasa kama unaonekana kuwa na mafanikio. Kimaro wameamua kuumpa hasara, tutaona na kusikia mengi zaidi ya haya!!!!!!. Malori yanatumika...... nasema tutaona na kusikia mengi mpaka siku Rais na wabunge 2010 wanaapishwa!!!!
 
Jamaa anafuata rizikii...

ila mengi kwa sasa asibabaikie kubeba waandishi kisa anapambana na ufisadiiiii...
 
Mwandishi mahili wa gazeti la nipashe mwenye cheo cha News Editor Ndugu Dennis Msaki ameandika barua ya kuacha kazi kwa notice ya masaa 24 kuanzia saa sita mchana wa leo,kuna habari za kuaminika kuwa amekwenda kujiunga na gazeti la mtanzania la kampuni ya habari cooperation hasa baada ya kuonekana zaidi ya mara tano kwenye vikao na Hussein Bashe wa Habari.Hili ni pigo kubwa sana kwa Mzee Mengi .Baada ya barua kufika Jesse Kwayu ameonekana akienda kwenye kikao cha dharura na Managing Director.waandishi wote hapa news room ipp wanaonyesha kutoamini kilichotokea.


Tatizo hapa liko wapi, waandishi wa habari wangapi wanahama kila siku kwenye hivyo vyombo vya habari? Na kama issue hapa ni kununuliwa mbona kina Kibanda wanamtumikia RA kutokea Tanzania Daima!

Kwanza tujiulize ni chombo gani cha habari ukitoa vile vya IPP, ambacho hakijaingiliwa na RA, jibu hakuna, jamaa anao watu wake kwenye kila chombo, si tumewshuhudia TBC na magazeti ya serikali walivyochemsha kuhusu RA na RAM1

Jamaa hata hajaripoti tunamhukumu, sio sahihi, kama ataenda huko ni sawa na wengine wanaohamia vyombo mbali mbali.

Kama ni maslahi vyombo vyote vya habari tz viko sawa tu, matatizo ni yale yale, na kuhama ni moja ya mbinu ya waandishi tz kujiongezea kipato kwani anayemchukua huweka dau kubwa zaidi ambalo angebaki pale alipo asingelipewa nyongeza ya kiwango hicho.
 
Huyo ni mwandishi mwenye njaa kali sana. Kutimka kwake Nipashe kumetokana na kuondolewa kwa Sakina Datoo ambaye ndiye aliyempeleka hapo. Bila shaka ameshawishiwa na Sakina kuondoka kwani huyo dada wa Kihindi naye inasemekana yupo njiani kwenda huko. Ila na-doubt kama ni mwandishi mahiri kama unavyoeleza hapa.
 
Hii ni changamoto kwa mzee wetu Mengi, kufikiria upya mishahara na maslahi kwa wafanyakazi wake.......
 
Huyo ni mwandishi mwenye njaa kali sana. Kutimka kwake Nipashe kumetokana na kuondolewa kwa Sakina Datoo ambaye ndiye aliyempeleka hapo. Bila shaka ameshawishiwa na Sakina kuondoka kwani huyo dada wa Kihindi naye inasemekana yupo njiani kwenda huko. Ila na-doubt kama ni mwandishi mahiri kama unavyoeleza hapa.

Sakina amendoka Guardian? Tafadhali nihabarishe vizuri.
 
Hatimaye leo Msaki kaanza kazi MCL kama Deputy Managing Editor wa gazeti la Mwananchi
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom