Eliza wa Tegeta
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 251
- 108
:A S-coffee::A S-coffee:
Haya maneno ya AshaDii hapa chini ndio yamemaliza hang over zote!! Ngoja nijitume kidume mie!!zimeyeyushwa na hii sredii au?
yan baada ya kugundua umwanaume kamili.
Mwanaume kamili huendana na mazingira yoote, hana mtindo wa kuuza sura, wakati wa kazi ni wakati wa kazi! Wakati wa kuuza sura ni wakati wa kuuza sura! He is at home anywhere... iwe shamba, iwe kazini (ofisini), iwe kijiweni, iwe kwa wakwe, iwe nyumbani kwake na hasa kila chumba (i.e jikoni), iwe mbele ya kundi kubwa, iwe mkutano, He rules..... either by being a low key player or high key player.... Awe anajua ana madhaifu na asiwe muoga wa kuonesha hayo madhaifu (walau kwangu kama mpenzi wake). Ajue kua yeye ni mwanadamu kama wengine, ili a-appriciate wanadamu wali mzunguka regardless hali zao...
Mwanaume kamili ni yule mwanaume hata his fellow men wish to be like him.....
Hahahahah!Mpe sifa zake Canta asije akapewa kwingine ukashangaa anahamisha majeshi.
nilisikia umekufa.source asprin:A S-coffee::A S-coffee:
Go and ask her...... atakuambia she is the luckiest lady in the world ... to be married to this wonderful hubby of her.... Yes ODM! Nazichapa biya, na haki na haja zake namtimizia kama kawaida....kazi ipo hapa aisee .
bibi ana kazi tena ya ziada nishaona.
Loading................!And who is my lucky grandson?
we endelea tu kuzichapa biya...Umeona Smile kakuuza kwa Eliza Tegeta??Go and ask her...... atakuambia she is the luckiest lady in the world ... to be married to this wonderful hubby of her.... Yes ODM! Nazichapa biya, na haki na haja zake namtimizia kama kawaida....
Hilo ndilo jibu la mtihani.....
Hahahahaha.... huyu Smile wako huyu.... subiri!we endelea tu kuzichapa biya...Umeona Smile kakuuza kwa Eliza Tegeta??
We binti, tayari ushanifanya Ziraili mtoa roho za watu?nilisikia umekufa.source asprin
sasa hapo unaposti toka kuzimu au?
alaah kumbee,Go and ask her...... atakuambia she is the luckiest lady in the world ... to be married to this wonderful hubby of her.... Yes ODM! Nazichapa biya, na haki na haja zake namtimizia kama kawaida....
Mi yote uliyonena ni 100.
Hii nimeipenda kwa kweli, nimepata picha the type of mwanaume wapenda.... Ulie mdiscribe yupo Perfect, In reality ni ngumu saana kumpata but wenye bahati zao wanapata, na hopefully utawa mmoja wao.....
Kwa upande wangu Mwanaume kamili ni yule ambae ananielewa ipasavo na on top of that ananijali mno hata kama hajanipenda mno! akinielewa ipasavo atajua nini nataka, wakati gani nataka hicho kitu; Atanijua tabia zangu zoote, nikiwa sad/emotional/sensitive/happy/horny/depressed - na atatafuta njia mbadala wa kunifanya niwe normal. In short on one to one... Atanifanya nijiskie I am special and Woman indeed. Atakua baba mzuri wa watoto wangu na kutimiza wajibu wake kama baba na Mume. Ana Utu kwa wanadamu woote sio tu wakaribu wake.....
Mwanaume kamili huendana na mazingira yoote, hana mtindo wa kuuza sura, wakati wa kazi ni wakati wa kazi! Wakati wa kuuza sura ni wakati wa kuuza sura! He is at home anywhere... iwe shamba, iwe kazini (ofisini), iwe kijiweni, iwe kwa wakwe, iwe nyumbani kwake na hasa kila chumba (i.e jikoni), iwe mbele ya kundi kubwa, iwe mkutano, He rules..... either by being a low key player or high key player.... Awe anajua ana madhaifu na asiwe muoga wa kuonesha hayo madhaifu (walau kwangu kama mpenzi wake). Ajue kua yeye ni mwanadamu kama wengine, ili a-appriciate wanadamu wali mzunguka regardless hali zao...
Mwanaume kamili ni yule mwanaume hata his fellow men wish to be like him.....
Mwanaume kamili ni yule anaejiamini. .
Anaelewa thamani ya mwanamke na kumthamini!
Mwanaume kamili ni yule anaefahamu majukumu yake. .
Aliye tayari kusaidia, bila kusubiri mpaka atake!
Mwanaume kamili ni yule anaejielewa. .
Anaerudi nyumbani bila ya kulewa!
Mwanaume kamili anajua muda wa kurudi nyumbani. .
Hasubiri mama na wana wakamtafute kilabuni!
Mwanaume kamili anajua anapohitajika. .
Hujitahidi 'kuwepo' hata akichoka!
Mwanaume kamili anatambua umuhimu wake katika malezi. .
Anajua kuzaa pekee hakumfanyi mzazi!
Mwanaume kamili anajitahidi kuwa mwaminifu. .
Na hamwachi mwenzie atoke bila kumsifu!
Mwanaume kamili hufikiri kabla ya kutenda. .
Hafanyi makusudi kuumiza anaowapenda!
Mwanaume kamili hutumia neno 'samahani'. .
Hana makuu na kujikweza asilani!
Mwanaume kamili hupendeka. .
Hufanya iwe rahisi kwa mwenzi kucheka!!
Hongereni "wanaume kamili" wote ndani ya JF na uraiani. Kwa niaba ya wote wanaowakubali TUNAWAPENDA SANA. . Y'all are deeply appreciated!
Poa mkuu!Mkuu mambo yako
Mwanaume kamili pia na natimiza vigezo vyote vya kuwa mwanaume