stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,887
- 4,467
Pitia comment nying hapa utaona,wengi wanaunga mkono malezi mazuri ambayo wanaume wamepata toka kwa mama tu.NI KWELI NAMI NAKUBALI (nami nimelelewa malezi hayo). LAKIN kumbuka malezi tuliyo pata sisi (wanaume wa leo) toka kwa mama zetu ni TOFAUTI SANA ma malezi wanayopata watoto wa kiume wa miaka hii toka kwa single mothers.wala haiitaji mtabiri kuwatabiria namna watakavyo kuwa kwan malezi wanayo pata sasa toka kwa kina mama (hawana sifa na mamazetu) utajua namna watakavyo kuwa wanaume legelege,tegemezi kifikra,kimaamuzi,wavivu,kukosa ujasiri na zaidi kuiga tabia za kikekike
Kama ulikuwepo mkuu wa kiume wa cku hz majanga matupu