Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,694
- 40,960
Nahisi kuna agenda ya siri vile! Anataka tuamini kwamba Mwanasheria amepigwa na watu wenye hasira ya kupoteza nyumba zao hivyo na Dr. Ulimboka alitekwa na watu wenye hasira ya kupoteza ndugu zao. Nahisi haya ndo mazingira yanayojengwa!!!
Sio kila kitu kinakwenda hivyo mkuu, naona ushaathirika na matukio