funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,569
- 21,051
kwa sasa Mheshimiwa yuko kwenye ratiba kali sana ya kampeni kwa hiyo hata ukienda kumuona watakupangia tarehe za mbele sana labda baada ya Desemba halafu kama unataka kumwona Rais unatakiwa kujaza fomu na kueleza sababu ya kwenda kumuona sasa sidhani kama hiyo sababu yako ni ya msingi
Ushauri: Najua unampenda sana mwanao ila sio kitu anachosema mtoto wazazi mkitekereze maana mtoto bado akili yake inakuwa hivyo inatakiwa kuelekezwa kinachowezekana na kisichowezekana sidhani kama ni sawa kwa mtoto wenu mdogo kutaka kuonana na Rais siku ya kuzaliwa kwake maana sidhani kama kwa umri wake atakuwa na lolotela kumwambia Rais. Pia ukiwa kama mzazi jaribu kumwongoza mtoto katika misingi ya kumfanyia mambo yanayowezekana na pia jaribu ku-reason kabla hujatenda maana wazazi wasiku hizi tumekuwa kama malimbukeni ktk malezi ya watoto tunawapenda na kuwadekeza kupita kiasi na kupita uwezo wetu ambapo matokeo yake mtoto anaharibika kisaikolojia kwa kujua kila anachotaka wazazi watampa hata kama hawana uwezo
Jaribu kumlea mtoto ktk misingi mizuri na inayowezekana sio kumlea kama maigizo kiasi kwamba anaposema anataka kumwona Rais na wewe unaumia kichwa mwisho wake atakwambia anataka kwenda kumsalimia Obama au kumwamkia Osama sijui hapo utafanyaje. Grow up kuwa kama mzazi ambaye ni mwelekezi kwa mtoto na sio mtoto ndio anaku-drive huo sio ulezi mzuri
Ushauri: Najua unampenda sana mwanao ila sio kitu anachosema mtoto wazazi mkitekereze maana mtoto bado akili yake inakuwa hivyo inatakiwa kuelekezwa kinachowezekana na kisichowezekana sidhani kama ni sawa kwa mtoto wenu mdogo kutaka kuonana na Rais siku ya kuzaliwa kwake maana sidhani kama kwa umri wake atakuwa na lolotela kumwambia Rais. Pia ukiwa kama mzazi jaribu kumwongoza mtoto katika misingi ya kumfanyia mambo yanayowezekana na pia jaribu ku-reason kabla hujatenda maana wazazi wasiku hizi tumekuwa kama malimbukeni ktk malezi ya watoto tunawapenda na kuwadekeza kupita kiasi na kupita uwezo wetu ambapo matokeo yake mtoto anaharibika kisaikolojia kwa kujua kila anachotaka wazazi watampa hata kama hawana uwezo
Jaribu kumlea mtoto ktk misingi mizuri na inayowezekana sio kumlea kama maigizo kiasi kwamba anaposema anataka kumwona Rais na wewe unaumia kichwa mwisho wake atakwambia anataka kwenda kumsalimia Obama au kumwamkia Osama sijui hapo utafanyaje. Grow up kuwa kama mzazi ambaye ni mwelekezi kwa mtoto na sio mtoto ndio anaku-drive huo sio ulezi mzuri