Anataka kumtembelea raith Kikwete sio kupewa jezi ya yanga. Pia nisingependa kumwambia haiwezekani kabla sijajaribu kutafuta njia ya kumkutanisha na huyo. Kwa mzazi atanielewa namaanisha nini kama ambavyo Kiranga kanielewa.
huyo binti kwenye picha ukimwangalia vizuri ana uzuri wa asili she is very beatiful angekuwa mjini watu wangemtolea macho sema tu huko bush anakoishi ndio kuna mlostisha kwenda na wakati na kumsababishia awe baunsa lakini ni mzuri kwa kweli kama Odemba